BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,020
Mkuu huyo anajiita KICHAA na ukweli anacho na huko kujichanganya kuhusu mishahara ni ushahidi tosha kabisa wa kichaa chake.
Kwahiyo hajapandisha mishahara!Sasa mbona hapo anasema amepandisha mishahara???
Kama sielewi vile!