JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,022
Ukiombwa uweke ushahidi hadharani kuwa hizi ni mali zake binafsi unaweza kuuweka?.
..ukinikamata au ukinipiga risasi nitajua hoja zangu zina ukweli na mumeshindwa kuzijibu.
Ukiombwa uweke ushahidi hadharani kuwa hizi ni mali zake binafsi unaweza kuuweka?.
Ukiombwa uweke ushahidi hadharani kuwa hizi ni mali zake binafsi unaweza kuuweka?.
Hivyo maslahi ya watumishi wewe si kipaumbele chako. SIKUCHAGUI.Mgombea urais wa ccm amesema, hawezi kuongeza wafanyakazi mshahara na huku anajenga reli,elimu bure,miradi mikubwa kwa sababu na wafanyakazi watatumia hivyo vitu
Poleni wafanyakazi ,twende na Lissu
=====
View attachment 1559428
DKT MAGUFULI: MARA
> Huwezi ukaacha kujenga reli, ukasema hii hela naenda kupandisha mishahara
> Huwezi ukaacha kujenga vituo vya afya, ukatumia hiyo hela kupandisha mishahara
#Uchaguzi2020
Kila rais wa TZ husingiziwa kuwa anamiliki mali nyingi. Tulianza tabia hiyo ya kusingizia baada ya Mwinyi kuingia ikulu...ukinikamata au ukinipiga risasi nitajua hoja zangu zina ukweli na mumeshindwa kuzijibu.
Jiwe ni binadamu tu ambaye anapita njia juu ya ardhi. Kama anafanya kitu kitakachodumu baada ya yeye kuwa ameshaondoka sioni baya lolote kwa mradi husika ukiendelezwa.mkuu,hujaelewana na huyo mtu unayebishana nae,yeye amsema hiyo miradi ipo kwa faida za jiwe ila wewe umedhani amesema ni mali binafsi za jiwe
Wewe ndiye unahitaji kupewa poke kwa mawazo mgando hayo. Km unaishi kwenye nyumba ya kupanga huku unakula bata, je, uendelee na maisha ya kula bata ukiwa mpangajI au ujinyime kula bata ujenge nyumba yako? KUPANGA NI KUCHAGUAMgombea urais wa ccm amesema, hawezi kuongeza wafanyakazi mshahara na huku anajenga reli,elimu bure,miradi mikubwa kwa sababu na wafanyakazi watatumia hivyo vitu
Poleni wafanyakazi ,twende na Lissu
=====
View attachment 1559428
DKT MAGUFULI: MARA
> Huwezi ukaacha kujenga reli, ukasema hii hela naenda kupandisha mishahara
> Huwezi ukaacha kujenga vituo vya afya, ukatumia hiyo hela kupandisha mishahara
#Uchaguzi2020