cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,317
- 7,509
Mgombea urais wa ccm amesema, hawezi kuongeza wafanyakazi mshahara na huku anajenga reli,elimu bure,miradi mikubwa kwa sababu na wafanyakazi watatumia hivyo vitu
Poleni wafanyakazi ,twende na Lissu
=====
DKT MAGUFULI: MARA
> Huwezi ukaacha kujenga reli, ukasema hii hela naenda kupandisha mishahara
> Huwezi ukaacha kujenga vituo vya afya, ukatumia hiyo hela kupandisha mishahara
#Uchaguzi2020
Poleni wafanyakazi ,twende na Lissu
=====
DKT MAGUFULI: MARA
> Huwezi ukaacha kujenga reli, ukasema hii hela naenda kupandisha mishahara
> Huwezi ukaacha kujenga vituo vya afya, ukatumia hiyo hela kupandisha mishahara
#Uchaguzi2020