Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Huwezi ukaacha kujenga reli, ukasema hii hela naenda kupandisha mishahara

Bila shaka una funza kichwani
Haki ni pamoja na usawa, huwezi zungumzia haki wakati usawa hakuna, yani wafanyakazi wawe na mishahara mikubwa wakati wanafunzi wanakaa chini, wawe na laptop wakati hatuna maabara, mishahara yenyewe ikiwa mikubwa watashindwa kujenga na kununua magari kwasababu miundombinu ya kuendesha magari itakuwa mibovu, watashindwa kusafirisha vifaa vya ujenzi kwani gharama itakuwa kubwa sana kutokana na usafirishaji ndio maana tunajenga reli, mabwawa ya umeme n.k

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Achana na huyo mwehuu aloandika ujinga anationa wote mapopoma
Wazazi wetu walifunga mkanda kiukweli ukweli na tulishuhudia wenyewe wakiishi maisha hayo.

Sasa leo mtu anayekwambia funga mkanda yeye yuko zake anazunguka na ma V8 kwa mamia na helicopter juu,ana mshahara wa mamilioni,bima za afya uhakika kwake na kwa familia yake tena watoto wake na ndg zake wakipata kazi kwny mashirika ya umma manono, ila watoto wa maskini ndio wanaambiwa wakachukue vitambulisho vya wamachinga.

Huo Mkanda yeye anaufungia wapi?
 
Nimekutukana matusi yoote unayoyajua hapa duniani wewe na ukoo wako
Ata apae kama malaika

Ukipewa uchague kati ya kujenga miundombinu na kuongeza mishahara utachagua nini, ukizingatia una hella ya kufanya jambo moja, kingine ni kuwa vitu havijapanda bei kihivyo na dolla iko palepale
 
Upinzani nchi hii ni janga LA taifa
FB_IMG_15993908920209209.jpg
 
“Mtu anakuja anasema mbona hamjapandisha mishahara?, ukishampandisha Mtu daraja mshahara wake haubadiliki?, tumerekebisha PAE kutoka 11% hadi 9%, tumelipa malimbikizo ya Wafanyakazi zaidi ya Bil 500 hiyo sio fedha!?”- JPM akiwa Mara
#MillardAyoUPDATES

..mishahara inatakiwa ipandishwe bila kujali mtumishi amepanda daraja au la.

..anachosema Magufuli hapa ni kwamba wanaostahili kupanda mshahara ni wale waliopandishwa daraja tu.
 
Wafanyakazi wapo laki tano na nusu wakati jumla ya watanzania ni milioni 59.7.

Tuondokane na akili za kibinafsi, kuna mahitaji mengi sana ya watanzania wa mikoani na yana thamani kubwa na ya kudumu kulinganisha na hao waajiriwa laki tano.


..UBINAFSI ni kuacha kuwapa motisha watumishi wa umma, na kwenda kujenga airport ya kimataifa CHATO kijijini kwa Raisi.
 
Haki ni pamoja na usawa, huwezi zungumzia haki wakati usawa hakuna, yani wafanyakazi wawe na mishahara mikubwa wakati wanafunzi wanakaa chini, wawe na laptop wakati hatuna maabara, mishahara yenyewe ikiwa mikubwa watashindwa kujenga na kununua magari kwasababu miundombinu ya kuendesha magari itakuwa mibovu, watashindwa kusafirisha vifaa vya ujenzi kwani gharama itakuwa kubwa sana kutokana na usafirishaji ndio maana tunajenga reli, mabwawa ya umeme n.k

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Mishahara inapanda kwa mujibu wa sheria, mimi nafikiri hoja yako ingekuwa na mashiko kama wangefuta kwanza hizo kanuni na sheria za kupandisha wafanyakazi mishahara
 
Huwez kuelewa ila ndo kweli
Kama baba wa familia siwezi nikaacha kufanyia biashara hella nilonayo nikaenda kuwanunulia familia yng wale kuku kila siku wale, lazima uandae ubaadae wako ata kama ni kunywa uji kila siku, enzi zile nyumban miaka ya late 90's nyumban tulikuwa tunakula mlo moja kwa siku,
Tuliishi vibaya ila ni kwakuwa wazazi walikuwa wanatafta na wakazipata, lazima uelewe unaenda wapi na msimamo wako
Kuna mschana nilikuwa nae nikamuacha bila sababu, sijui ka alikuwa ananidanganya ama ni kweli, yeye kwao kila siku ni pilau, kuku, nyama, mbuzii, birthday noma, japo alikuwa ana bonge la tako na kashiba ila familia yao ilikuwa ni kama kichu cha muhim kwao ni kula tu na hamna maendeleo
Nikamuacha maana niliona hawana akili

Ni umasikini tu unakusumbua, kula vizuri ni kitu cha kawaida ambacho kila mtu anapaswa aweze kuafford. Umasikini mlioletewa na CCM ndio unawasababisha kujipangia vipaumbele vya hovyo mnasahau kula, mwisho mnaugua magonjwa ya “Malnutrition” mkipambana kujenga vibanda ambavyo hata havina sifa ya kuitwa nyumba.

Watu wanawasemea ili serikali ione umuhimu wa uchumi wa mtu mmoja mmoja kukua, ili ifike siku muone kula ni kitu cha kawaida, kujenga vilevile ni kitu cha kawaida kila mtu mzima awe na uwezo wa kuyafanya hayo.
 
Unamaanisha kuwa ukiishiwa ugali nyumbani unaenda kwa mwalimu au daktari akusaidie unga?? Niweke sawa yawezekana sijakuelewa vizuri, Suala la haki yako kisheria silipingi mkuu, Lakini sina imani kama utafurahi kuona asiye na kitu anazidi kunyimwa ili wewe uliye na kidogo uongezewe kwa kile unachokiita kuwa ni sheria, Siwezi kukuingilia kwenye maamuzi yako, lakini Kama wewe ni msomi tayari wewe ni kioo Cha jamii. Ni vizuri kufikiri sana katika kila maamuzi utakayotaka kuyachukua.

Washaurini basi wafute hiyo sheria maana waliiweka wao, mbona unawalalamikia watumishi as if walijitungia hiyo sheria? Rais wako anavunja sheria wewe uko busy kumshangilia, Je unafahamu kuvunja sheria ni kosa?
 
Haki ni pamoja na usawa, huwezi zungumzia haki wakati usawa hakuna, yani wafanyakazi wawe na mishahara mikubwa wakati wanafunzi wanakaa chini, wawe na laptop wakati hatuna maabara, mishahara yenyewe ikiwa mikubwa watashindwa kujenga na kununua magari kwasababu miundombinu ya kuendesha magari itakuwa mibovu, watashindwa kusafirisha vifaa vya ujenzi kwani gharama itakuwa kubwa sana kutokana na usafirishaji ndio maana tunajenga reli, mabwawa ya umeme n.k

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Kama hujui, wafanyakazi ndiyo wanajenga nchi...
 
That’s a fact kutoka kwa mwanaume! Mawazo ya maendeleo. Reli ndiyo itazalisha ili kizazi cha baadaye kinufaike. Hata ulaya walifunga mikanda na leo hii wajukuu wanafaidi.

Wananchi hawataki wagombea ambao hawajui shida zao; wagombea ambao wanaonekana kipindi cha kampeni tu. JPM analazimisha wananchi kuchagua ccm kwa nguvu, haiwezekani.
Mwananchi jua wewe ndio mwenye nguvu kipindi hiki, zitumie nguvu zako vizuri kuleta mabadiliko.
 
wabongo siwaelewi

..thread wengi wanalalamika na ungedhani watampiga chini...lakini wakishapewa kofia na t-shirts wanasahau shida zao
 
Back
Top Bottom