Mnafanya yale tusiyowaomba lakini kile tunachoomba hamtupatii,Mtoto wako akikuomba mkate wampa jiwe?Tatizo wao wanataka tuongeze sent ila sie twapunguza paye percentage tu so ni njia indirect ya kuongeza mshahara.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Tukiomba ajira mnanunua ndege,tukiomba Tume Huru mnatuletea askari wa jeshi LA akiba na kukata Majina ya wagombea nchi nzima?
CCM MNA tatizo gani hasa?Tumewakosea nini?