Dkt. Leonard Chamuriho ni nani?

Dkt. Leonard Chamuriho ni nani?

Ninachofahamu ni alisoma Moshi Tech kipindi hiko kisha kusoma FTC pale DIT then degree UDSM.

Chamuriho alikuja kuwa lecturer katika Department ya Structural engineering pale Udsm Coet, Kabla ya kuja kuwa Permanent Secretary wa Wizara ya Ujenzi.

I'm Honoured nilikuwa naye Mlimani August 2020 tukabadilishana mawili matatu.

Shortly: Anapenda sana Shule.
Basi anaweza kuwa perfect match
Ni muhimu kusimamia haki, yule mama alifurahi kabisa tukiporwa ushindi na aliona haki ikipokwa. Kwa kejeli alitutamkia kuwa hata tukipiga kura kule ni sawa na kumwaga sukari Ziwa Victoria, wao ndiyo wataunda serikali.

Sasa serikali iliyoundwa bila haki inataka kumpoka haki yake.
Sasa ni zamu yake kunyolewa kipara, awe mpole tu
 
Ulichosema ni kweli mkuu..mie iliniaafect kbs brain..nilikua nawaza kwa muda mrefu mno ndo nijibu..kifupi mm.nilikua nawehuka kbs sasa sipatii picha yeye
Daah pole sana Mkuu. Halafu pembeni unasikia mtu anasema eti Tanzania hakuna Corona. Ikabatizwa Pneumonia. Yaani Covid 19 attack unalinganisha na normal Pneumonia? Hapa ndiyo wengi waliangamia.
 
Atakuwa muhutu au mtutsi huyo.

Hamna nchii hii inatawaliwa na nchi moja ndogo jirani.
 
Kuna utafiti unaendelea kuhusu athari za corona kwa wale ambao hawakufariki. Kuna baadhi ni maselule kabisa wameshindwa hata kurudi makazini au kwenye biashara zao pamoja na kuwa wengine waliipata miezi mingi iliyopita. Na picha za MRI za brain zinaonyesha brain 🧠 yao iko abnormal.
Mkuu hapo sasa unatupiga kamba
 
Lakini mzee aache roho mbaya mpaka anatuweka majaribuni kutaka iwe hivyohivyo kama wanavyotabiri,mzee badirika acha ubabe na wewe ulizaliwa na utakufa siku moja kama wanadamu wengine khaaa.
 
Back
Top Bottom