Dkt. Leonard Chamuriho ni nani?

Unajisikiaje Leo ukisoma hii msg hujioni juha? polokwane
Najionaje juha mkuu wakati official notification ilikuwa haijatoka? Ya mitandaoni mbona mengi unataka tuamini hovyo hovyo?? Maana mtandaoni tuliambiwa Mh. Mpango katangulia mbele za haki, nikweli? Lakini pia tuliambiwa lowasa katangulia mbele za haki vp nikweli?? Lakini tuliambiwa pia mwinyi katangulia mbele za haki vipi ni kweli? Kuamini vitu hovyo hovyo yena vinavyo toka kwa wahuni wa mitandaoni ndio ujua mkuu.
 
Mwosha huoshwa.
 
Inategemea na unaweza ona kuna ambao wanakuwa na Corona hata dalili hawana. Siyo automatic kuwa kwa vile kapata Corona basi atapata Permanent damage. Yes yupo kwenye risk. But as for now the man is coming back. Tujiandae kwa vichambo.
Hello Victoire .
 
Ni masalia ya jpm hafai kwa lolote.. Zaidi ya udikteta
 
Nani kasema[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…