Dkt. Leonard Chamuriho ni nani?

Huyo Victorie ndio nani kwenye jambo hili?mnapenda kusikia habari zinazowafurahisha ila za ukweli hamtaki.

Kwa kuwa hapa tupo JF, huyo Victoire ni member wa JF. Hakuna haja ya kusema huyo mtu ni nani hapa, cha msingi alichokisema nimekithibitisha kwa vyanzo vyangu nnavyoviamini.

Unafikiri wewe una uwezo wa kujua mie au watu wanapenda kusikia habari gani? Hauna uwezo huo na hautakuja kuwa nao mkuu.
 
Ulichosema ni kweli mkuu..mie iliniaafect kbs brain..nilikua nawaza kwa muda mrefu mno ndo nijibu..kifupi mm.nilikua nawehuka kbs sasa sipatii picha yeye
Kuna jamaa hapa na pesa zake alipata corona akawa na dalili ya mafua yasiyokwisha, kutosikia harufu n.k ikafikia mahali akiendesha gari anaongea peke yake, mara apaki gari kabla hajafika nyumbani yaani kawa kama amechanganyikiwa mpaka sasahivi.
 
Hii ni kweli
 
Reactions: BAK
Kuna jamaa ameugua na hakujua kama anao kabisa...
Januari covid ilinipiga kisawasawa. Nilikuja kuambiwa kuwa ilikuwa yenyewe zaidi ya mwezi na nusu baada ya kupona.

Namshukuru Mungu kwamba nilipona bila kutumia dawa yoyote. Si malimao wala kujifukiza.
 
Usisahau updates
 
Maneno kibao ya kulia lia point hamnamo
 
Mnadanganyana uko kama umevithibitisha usitumie nguvu kuaminisha
 
Maggot
Kifo nakiogopa sababu ya hao maghot
Sijui wanakuwa formed vipi manina
Yaani miili yetu ni funza. Ikitokea tuu umeswitch kwa upande ule hapo hapo unageuka kuwa funza weeengi 😂😂
 
Mnadanganyana uko kama umevithibitisha usitumie nguvu kuaminisha

Wapi nimetumia kuaminisha watu? Mie naandika kitu nnachokifaham na ni haki yangu kutoa maoni yangu. Nashangaa hiyu kutumia nguvu kuaminisha watu imetoka wapi?
 
Kuna huyu Mtanzania anaitwa Dr. Leonard Chamuriho, huyu ni nani hasa katika historia ya Tanzania?

Nini mafanikio yake katika utumishi wa Tanzania? Naomba tumjadili kwa pamoja hapa free media JF
Hii ni nji ya mafununu!
Nasikia huenda akawa ndiye Makamu wa Rais iwapo parapanda Italia one of these days!!
 
Wapi nimetumia kuaminisha watu? Mie naandika kitu nnachokifaham na ni haki yangu kutoa maoni yangu. Nashangaa hiyu kutumia nguvu kuaminisha watu imetoka wapi?
Basi tulia sababu hakuna mwenye certified information
 
Jamani acheni Mungu aitwe Mungu!!!
Kuna Mitanzania ikishakwaa madaraka inajiona kama miungu watu. This time around CCM watajua kuwa kumbe kejeli, kibri,jeuri,dharau na roho mbaya kwa Watz wenzao wene mawazo kinzani, Mungu anachukia na aweza kuzisambaratisha kwa sekunde tu!! Ogopa sana Mungu.
 
Basi tulia sababu hakuna mwenye certified information

Nitulie? Kwanza nimerudia kusoma nilichoandika naona hakuna sehem nimekunukuu (quote) au kukutaja (mention), unajua kwanini niliandika nilipomnukuu huyo jamaa?

Mbaya zaidi ukaenda mbali kwa kusema tunatumia nguvu nyingi kudanganya watu ( sijui mimi na nani?).

Hauna na hautakua na mamlaka ya kunituliza kutoa maoni yangu mkuu. Na kwa taarifa yako nawajibika kwa nnachokiandika. Nafikiri umenielewa.
 
Haina neno boss
 
Watu wanaompenda JPM wengi wao wako vijijini na wale walioko mjini wengi wao shule haikukaa vizuri kichwani na ndiyo wamejazana facebook kupost Majungu, na ujinga ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…