Mikopo Chefuchefu
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 3,373
- 6,756
Pole nyingi kwa wafiwa.... Apumzike kwa amani ya Bwana.
Sawa!!Korona ndo sababu inayobamba sasa hivi.
Hata wewe leo ukifa itakuwa ni Korona tu.
Sasa mkuu ulitaka nitoe taarifa gani zaidi ya hii taarifa tuliyopata ni kua Dr amefariki na umeambiwa alikuwa anapata matibabu Benjamini mkapa hosp ,Sasa ulitaka nianze kuuliza kafaje na mm si mwanafamilia na ugonjwa ni siri ya Dr na mgonjwa,nikiandika unayotaka kuyasikia wewe itakua uzushi huo na kumvunjia heshima huyu Dr bingwa wa ukweli hasa ambaye alikuwa anasaidia sana kutibu watu hasa wazeeInasikitisha sana,mtu anakuwa na taarifa za kuunga unga kwa super glue ilimradi tu atoe taarifa inayoijua yeye na kuleta tafrani kwa umma
Apumzike panapomstahili marehemu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha usiseme hivyo ndugu
Kama watu wanafariki kweli taarifa zisitolewe??Kisa fikra zako zitatatizika?Inasikitisha sana,mtu anakuwa na taarifa za kuunga unga kwa super glue ilimradi tu atoe taarifa inayoijua yeye na kuleta tafrani kwa umma
Apumzike panapomstahili marehemu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama watu wanafariki kweli taarifa zisitolewe??Kisa fikra zako zitatatizika?
Sent using Jamii Forums mobile app
Je kifo chake nacho kimetokana na matatizo ya kupumua?Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo mkoa wa dodoma Dr Kinabo amefariki dunia leo katika hosp ya Benjamini mkapa iliyopo udom dodoma,sababu ya kifo Bado haijaelezwa hv karibuni aliyekua mbunge wa sumve marehemu Ndassa alifariki hapo hapo Benjamini mkapa baada ya kupelekwa kwa matibabu,tunatoa pole kwa familia na wakazi wa Dom,Dr Kinabo pia alikua na hospital yake maeneo ya uhindini ambapo alikuwa akitoa huduma bora sana za moyo,
Taarifa inatosha, achana naye huyo, sii tushaelewaSasa mkuu ulitaka nitoe taarifa gani zaidi ya hii taarifa tuliyopata ni kua Dr amefariki na umeambiwa alikuwa anapata matibabu Benjamini mkapa hosp ,Sasa ulitaka nianze kuuliza kafaje na mm si mwanafamilia na ugonjwa ni siri ya Dr na mgonjwa,nikiandika unayotaka kuyasikia wewe itakua uzushi huo na kumvunjia heshima huyu Dr bingwa wa ukweli hasa ambaye alikuwa anasaidia sana kutibu watu hasa wazee
Ndasa, Mahiga walifikishwa hapo wakiwa wameshafariki dunia mkuu.mkuu palipoleta shida ni pale alipounganisha na mbunge Ndasa ,binafsi hapo hospitali walishafia watu wengi sana kwanini ndasa,taarifa ingekamilika hata bila kumtaja marehemu ndasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Umejuaje wakati vipimo ni feki??
Sasa mkuu ulitaka nitoe taarifa gani zaidi ya hii taarifa tuliyopata ni kua Dr amefariki na umeambiwa alikuwa anapata matibabu Benjamini mkapa hosp ,Sasa ulitaka nianze kuuliza kafaje na mm si mwanafamilia na ugonjwa ni siri ya Dr na mgonjwa,nikiandika unayotaka kuyasikia wewe itakua uzushi huo na kumvunjia heshima huyu Dr bingwa wa ukweli hasa ambaye alikuwa anasaidia sana kutibu watu hasa wazee
Unaombea iwe hivyo ?Corona mpaka iondoke na jiwe kwanza