#COVID19 Dkt. Kigwangalla: Uchumi wa dunia utakua kwa kasi baada ya COVID-19 kudhibitiwa, tuchangamkie CHANJO sasa

Mbunge wa Nzega vijijini Khamis Kigwangalla amesema utafiti unaonyesha uchumi wa dunia utagrow kwa kasi mara tu baada ya COVID-19 kudhibitiwa.

Tanzania siyo kisiwa hivyo tuungane na dunia katika mapambano na tuanze utaratibu wa kufuatilia Chanjo sasa ili tusiachwe nyuma, amesema Dr Kigwangalla ambaye kitaaluma ni daktari wa binadamu

Kazi Iendelee!
Akawaombe radhi kwanza wale askari wanyama pori aliokuwa anawaambia 'mzaha au sio mzaha' huku anawakung'uta push ups
Kitaaluma Kigwangala ni mganga wa Tina asili,ndiyo maana slivyokuwa Naibu waziri wa Afya alimdumbua Sana Dr.Mwaka,
He alishaludisha pesa walixoiba kipitia sanamu hii ambayo halifanani na mhusika?
 
Kwamba Tz tuna hali mbaya ya korona kiasi cha kuhitaji chanjo haraka/kwa lazima au ndo kufuata mkumbo wa mataifa makubwa?
 
Sasa kwani amesikia wapi waliochanjwa hawavai tena Mask - Barakoa na kuacha Social Distance? Ni kama vile chanjo haileti matokeo chanya!!! Nchi zingine walianza kuchanja chanjo alafu wakasema hazileti matokeo chanya wakaziacha. Sisi tutafanya utafiti kwanza sio kukimblia tu chanjo. "No research No Right to speak"
 
Enzi ya shetani asingeongea
Eti Shetani
sheed.png
 
Kigwangala akiwa waziri wa maliasili na utalii kupitia Twitter alitweet kwamba Kujifukiza ni tiba na kinga ya covid 19 na atashawishi hoteli zote za kitalii kutenga eneo la kujifukiza

Akaenda mbali zaidi na kusema inatakiwa tuuze huo ugunduzi wetu.

Ndani ya mwezi baada ya Magufuli kufariki akasema Mashine ya Kujifukiza Mhimbili ivunjwe. Tukiwa tunataka kumaliza mwezi wa pili anasema tuchangamkie chanjo.

Somo ninalolipata ni kwamba ukipata chansi ya kua mnafiki na unatengeneza zaidi ya 11M kwa mwezi we kua mnafiki tu
Umenena Mkuu. Unafiki uliovuka mipaka.
 
Mbunge wa Nzega vijijini Khamis Kigwangalla amesema utafiti unaonyesha uchumi wa dunia utagrow kwa kasi mara tu baada ya COVID-19 kudhibitiwa.

Tanzania siyo kisiwa hivyo tuungane na dunia katika mapambano na tuanze utaratibu wa kufuatilia Chanjo sasa ili tusiachwe nyuma, amesema Dr Kigwangalla ambaye kitaaluma ni daktari wa binadamu

Kazi Iendelee!
Utakuta huyo jamaa ndio anatumia I'd ya Jasmoni Tegga 😆😆😆
 
Mbunge wa Nzega vijijini Khamis Kigwangalla amesema utafiti unaonyesha uchumi wa dunia utagrow kwa kasi mara tu baada ya COVID-19 kudhibitiwa.

Tanzania siyo kisiwa hivyo tuungane na dunia katika mapambano na tuanze utaratibu wa kufuatilia Chanjo sasa ili tusiachwe nyuma, amesema Dr Kigwangalla ambaye kitaaluma ni daktari wa binadamu

Kazi Iendelee!
Daktari gani huyu kilaza...
Hiyo chanjo achanje yeye na familia yake.
 
Mbunge wa Nzega vijijini Khamis Kigwangalla amesema utafiti unaonyesha uchumi wa dunia utagrow kwa kasi mara tu baada ya COVID-19 kudhibitiwa.

Tanzania siyo kisiwa hivyo tuungane na dunia katika mapambano na tuanze utaratibu wa kufuatilia Chanjo sasa ili tusiachwe nyuma, amesema Dr Kigwangalla ambaye kitaaluma ni daktari wa binadamu

Kazi Iendelee!
Hapana si daktari wa binadamu ni bwana afya
 
Daktari gani huyu kilaza...
Hiyo chanjo achanje yeye na familia yake.

Tunaoihitaji chanjo tuko wengi. Tungeendelea kuihitaji hata kama Jiwe mwenyewe angesema kabadili mawazo.

Kumbuka 2+2 = 4 bila kujali wapumbavu wangapi walisema vinginevyo jana.
 
Duniani maajabu - hawa wazee wa kupigia debe nyungu leo hii wamegeukia chanjo!! Ama kweli ukishaondoka duniani na lako halipo.
 
Kwann hakuwa sahihi toka enzi

Ni wazi kwa Daktari huyu wa binadamu huo ulikuwa unafiki uliopitiliza. Yote ilikuwa katika kumfurahisha bwana yule huku wakiwatelekeza wasioweza kujihami hatarini.

Kwa ujumla wake ni sahihi kum blast opportunist uchwara huyu.
 
Back
Top Bottom