Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,389
- 1,258
Mhe Dkt. John Joseph Pombe Magufuli, mtoto wako kaunyea mkono "msamehe".
Mkurugenzi kafanya mengi
Mungu akuongoze vema
Mkurugenzi kafanya mengi
- Kajenga Zahanati,
- Kadhibiti mianya ya rushwa,
- Kajenga shule za msingi
- Kaongeza mapato ya halmashauri,
- Kadhibiti nidhamu kwa watumishi wake,
- Kadhibiti makazi holela,
- Na mengine mengi mazuri jamani
Mungu akuongoze vema