Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 7,811
- 10,819
Haina haja ya msamahaHapana mkuu nimeguswa tu na nikaamua kuungana na wengine kumuombea msamaha. Ni mtanzania mwenzetu pia kumbuka hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haina haja ya msamahaHapana mkuu nimeguswa tu na nikaamua kuungana na wengine kumuombea msamaha. Ni mtanzania mwenzetu pia kumbuka hilo.
Hatuwezi kua na mitanzania isiyokua mizalendo to that extent, Nimemuelewa Sana msukuma na anahitaji pongezi kubwa. Nimeenda Geita mji Kuna vijiji huko tabu tupu Hali mbayaaa Kama Kijiji Cha Bung'wangoko kipo Geita mji hali ya wananchi Ni tabu tupu Mimi Kama binadamu ukiniambia niishi huko Ni mateso lakini mtu anapata jeuri ya kuagiza gari ya 400mil kwelii?? Nae anahitaji huruma huyu??Hapana mkuu nimeguswa tu na nikaamua kuungana na wengine kumuombea msamaha. Ni mtanzania mwenzetu pia kumbuka hilo.
We kwani unaongelea nini mkuu?Mbona mkuu kajenga uwanja chato bila kufuata utaratibu? Mbona kanunua ndege bila utaratibu na kumzuia ha CAG asikague. Kumbuka ishu ya Korosho.
Ebu tafakari tu kidogo
Huyo ameshaharibuMkurugenzi, nawe jiombee msamaha kwa kuwa Rais wetu ni maikivu na mwenye huruma.
Hawa ni ndugu zao wanaona ugali utakwisha.KAMEIBUKA KA TABIA KA UANZISHWAJI WA NYUZI ZA KUWAOMBEA MSAMAHA WABADHIRIFU WA MALI ZA UMMA NA WALE WANAOTENGULIWA KWA AMA UZEMBE NA SBB NYINGINEZO. HII NI TABIA YA HOVYO KWELI KWELI.
Kama huo mchakato ni kweli ulifanyika hivyo, walitarajia yy aubatilishe vipi?Bajeti ya kununua lile gari ilipitishwa na Bunge la Jamhuri
Utekelezaji wake uliridhiwa na Baraza la Madiwani...
Can u please re- read what you have written.This DED,from what I have come to know,there is nothing to forgive him for,because he hs done nothing wrong, Every thing he did,as far as the "V8" was concerned ,was done by the book.The president and the appointing authority,should have done,due diligence,before kicking him out,the process to procure the vehicle,was done from PM office.
The guy has been sacrificed just to save face,and for political reasons and gains of MP Msukuma. The DED can not just wake up one day,and decide to buy a vehicle.If there was a need to fire people because of this vehicle,procurement authority from PM office,should have been the one,to be shown the door.
What happened to this guy,DED,is unfortunate,it's just for sycophants politicians and President him self,to save face,and boost their ego.
It is sad to say this DED will not be the last,to suffer under this Regime,The president has low self esteem,and likes one manshowmanship.
Jiwe haambiliki, hashauriki.
Sana tuLol kwa hiyo culture imezingatiwa kwenye design 😂😂😂 haya.
Hili nalo neno kwani nyingi pia 'zilipikwa' kuleKubwa zaidi aliongoza na kuratibu wizi wa kura kwa ustadi na umahiri wa hali ya juu.
Mbona kuhoji ile magari ya ikulu na ya mawazirNdo anunue gari la milion 400 za kodi zetu
Nadhani tunakosea kuhusisha huruma na migao ya fedha - ili nikuombee wewe mpk unipe fedha?Hujasema ulipewa mgao sh ngapi.
For sure, huyu DED yuko vizuri - GGM wamemjaribu sana lkn wapi! Wanaotaka kandarasi hususan wanasiasa wamemjaribu wapi! Mwanasiasa mmoja eti wakati nafasi za watendaji zimetangazwa alikuja na majina mkononi akitaka apewe kipaumbele - DED akamjibu kuwa wataajiriwa wenye sifa tu na watapitia taratibu zote kabla ya ajira - hapo napo nongwa ikaanzaKweli bwana some time fukuza fukuza haina afya Sana, mtu ukimpa onyo anakua amejifuza
Si mtetei, ila kwa maongenzi yake naona hajakwiba maana anaongea KWA kujiamini
So naunga mkono angalau jamani hata iyo v8 alipige gia, kuliko gari ndo isababishwe kutumbuliwa alafu ajae ale Raha na v8 sio sawa
Kumbe mkuu ,hapa umetufungua akili,wenda msukuma pamoja nakuibua hoja ya gari ambayo ilikua na mashiko binfsi pia nilimuunga mkono,ila pia wenda ana bifu binafsi, so mkurugenzi haojiwe, Kama wapo wanaomchomekea KWA maslai binafsi kupitia MGONGO wa manunuzi ya magari ,nao washughulikiwe,For sure, huyu DED yuko vizuri - GGM wamemjaribu sana lkn wapi! Wanaotaka kandarasi hususan wanasiasa wamemjaribu wapi! Mwanasiasa mmoja eti wakati nafasi za watendaji zimetangazwa alikuja na majina mkononi akitaka apewe kipaumbele - DED akamjibu kuwa wataajiriwa wenye sifa tu na watapitia taratibu zote kabla ya ajira - hapo napo nongwa ikaanza
Sasa wameona njia ya kumpata ni kupitia manunuzi ya gari
Lipo jambo linakukoroga - najua hauko sawa tangu Oktoba 2020Unamuombea mwanaume mwenzio msamaha mpaka ukirudi mkeo atashangaaa unalipwa Bei gani
Mkuu pole sana.kumbe ulishakuwaga DED mahali.Kuwa DED maeneo anayotoka mtawala ni kazi ngumu sana
Nakumbuka ma DED wa Bagamoyo.
Ukimkomalia mtu ushuru unakuta ni Mpwa au Shemeji wa Taifa
Nayaelewa sana mazingira hayo