Dkt. John Magufuli, nami namwombea radhi Mkurugenzi wa Geita - mengi mazuri ameyafanya

Hapana mkuu nimeguswa tu na nikaamua kuungana na wengine kumuombea msamaha. Ni mtanzania mwenzetu pia kumbuka hilo.
Hatuwezi kua na mitanzania isiyokua mizalendo to that extent, Nimemuelewa Sana msukuma na anahitaji pongezi kubwa. Nimeenda Geita mji Kuna vijiji huko tabu tupu Hali mbayaaa Kama Kijiji Cha Bung'wangoko kipo Geita mji hali ya wananchi Ni tabu tupu Mimi Kama binadamu ukiniambia niishi huko Ni mateso lakini mtu anapata jeuri ya kuagiza gari ya 400mil kwelii?? Nae anahitaji huruma huyu??
 
Kubwa zaidi aliongoza na kuratibu wizi wa kura kwa ustadi na umahiri wa hali ya juu.
 
Be quantitative, mf.kazuia rushwa kutoka matukio mangapi ya rushwa mpaka matukio mangapi leo hii?.Ukute huijui Geita vizuri,
 
This DED,from what I have come to know,there is nothing to forgive him for,because he hs done nothing wrong, Every thing he did,as far as the "V8" was concerned ,was done by the book.The president and the appointing authority,should have done,due diligence,before kicking him out,the process to procure the vehicle,was done from PM office.

The guy has been sacrificed just to save face,and for political reasons and gains of MP Msukuma. The DED can not just wake up one day,and decide to buy a vehicle.If there was a need to fire people because of this vehicle,procurement authority from PM office,should have been the one,to be shown the door.

What happened to this guy,DED,is unfortunate,it's just for sycophants politicians and President him self,to save face,and boost their ego.

It is sad to say this DED will not be the last,to suffer under this Regime,The president has low self esteem,and likes one manshowmanship.

Jiwe haambiliki, hashauriki.
Can u please re- read what you have written.
 
Hujasema ulipewa mgao sh ngapi.
Nadhani tunakosea kuhusisha huruma na migao ya fedha - ili nikuombee wewe mpk unipe fedha?

Namwombea bure kabisa, kafanya mengi hapo halmashauri - kasimamia makubwa pale halmashauri - kaitangaza kwingi hiyo halmashauri
 
Kweli bwana some time fukuza fukuza haina afya Sana, mtu ukimpa onyo anakua amejifuza

Si mtetei, ila kwa maongenzi yake naona hajakwiba maana anaongea KWA kujiamini

So naunga mkono angalau jamani hata iyo v8 alipige gia, kuliko gari ndo isababishwe kutumbuliwa alafu ajae ale Raha na v8 sio sawa
For sure, huyu DED yuko vizuri - GGM wamemjaribu sana lkn wapi! Wanaotaka kandarasi hususan wanasiasa wamemjaribu wapi! Mwanasiasa mmoja eti wakati nafasi za watendaji zimetangazwa alikuja na majina mkononi akitaka apewe kipaumbele - DED akamjibu kuwa wataajiriwa wenye sifa tu na watapitia taratibu zote kabla ya ajira - hapo napo nongwa ikaanza

Sasa wameona njia ya kumpata ni kupitia manunuzi ya gari
 
For sure, huyu DED yuko vizuri - GGM wamemjaribu sana lkn wapi! Wanaotaka kandarasi hususan wanasiasa wamemjaribu wapi! Mwanasiasa mmoja eti wakati nafasi za watendaji zimetangazwa alikuja na majina mkononi akitaka apewe kipaumbele - DED akamjibu kuwa wataajiriwa wenye sifa tu na watapitia taratibu zote kabla ya ajira - hapo napo nongwa ikaanza

Sasa wameona njia ya kumpata ni kupitia manunuzi ya gari
Kumbe mkuu ,hapa umetufungua akili,wenda msukuma pamoja nakuibua hoja ya gari ambayo ilikua na mashiko binfsi pia nilimuunga mkono,ila pia wenda ana bifu binafsi, so mkurugenzi haojiwe, Kama wapo wanaomchomekea KWA maslai binafsi kupitia MGONGO wa manunuzi ya magari ,nao washughulikiwe,
Maana aya Mambo yapo kwenye ofisi za umma na binafsi ukiwa ukwibi, alafu umezungukwa na majizi yatakusakama mpaka basi,
 
Unamuombea mwanaume mwenzio msamaha mpaka ukirudi mkeo atashangaaa unalipwa bei gani
 
Kuwa DED maeneo anayotoka mtawala ni kazi ngumu sana

Nakumbuka ma DED wa Bagamoyo.

Ukimkomalia mtu ushuru unakuta ni Mpwa au Shemeji wa Taifa

Nayaelewa sana mazingira hayo
Mkuu pole sana.kumbe ulishakuwaga DED mahali.
 
Back
Top Bottom