4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 5,979
- 6,782
Kweli bwana some time fukuza fukuza haina afya Sana, mtu ukimpa onyo anakua amejifuza
Si mtetei, ila kwa maongenzi yake naona hajakwiba maana anaongea KWA kujiamini
So naunga mkono angalau jamani hata iyo v8 alipige gia, kuliko gari ndo isababishwe kutumbuliwa alafu ajae ale Raha na v8 sio sawa
Si mtetei, ila kwa maongenzi yake naona hajakwiba maana anaongea KWA kujiamini
So naunga mkono angalau jamani hata iyo v8 alipige gia, kuliko gari ndo isababishwe kutumbuliwa alafu ajae ale Raha na v8 sio sawa