Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 29,020
- 40,835
Kule alikuwa anatafuta uwenyekiti ili aje kugombea UraisKwa cheyo nako kumemshinda?
Hahahaha anatapatapa sana Naye
Basi atulie tu aachane na siasa afanye mambo mengine
Kule alikuwa anatafuta uwenyekiti ili aje kugombea UraisKwa cheyo nako kumemshinda?
Hahahaha anatapatapa sana Naye
Basi atulie tu aachane na siasa afanye mambo mengine
Too low P!! Heri sometimes unyamaze... sio siri thinking capacity yenu inatia huruma!! So kama hoja ya msingi ni utendaji wa Magufuli sasa Chadema ifanye nini? Impunguze hiyo Kasi ama?hongera zake ni haki yake, nasisitiza, kwa msisitizo, huyu mtu asibezwe, ana hoja za msingi, asikilizwe na hoja zake zifanyiwe kazi!.
Hili nimelizungumza hapa
CHADEMA mjitafakari msiwabeze wahamaji, wana hoja za msingi. Adui wenu mkuu sio CCM! Lazima mbadilike
Paskali
Kama kawaida ya CHADEMA watatanguliza kejeli badala ya kujifanyia tathmini ya kina. Ni kosa kubwa sana la kiufundi linalorudiwa na wadau wa hicho chama.
Baba yako na mama yako wanaoshabikia CCM nao wamenunuliwa?Watu wananunuliwa kama karanga
Mkuu Lusungo, kabla hajahamia UDP, alihamia Chadema, alipoondoka alitoa hoja zake.Too low P!! Heri sometimes unyamaze... sio siri thinking capacity yenu inatia huruma!! So kama hoja ya msingi ni utendaji wa Magufuli sasa Chadema ifanye nini? Impunguze hiyo Kasi ama?
Wadau,
Aliyewahi kuwa Mbunge na Naibu Waziri katika Serikali ya awamu ya 4, badae akahamia CHADEMA kabla ya kutimkia UDP, Dkt. Goodluck Ole Medeye amerejea rasmi CCM leo.
Amedai ameridhishwa na kasi ya utendaji kazi wa Serikali ya awamu ya tano chini ya JPM.
Karibuni.
dume anakimbiza majike wakazali chama kubwa uku wao wakibaki bila kizazi kijacho,watakoma.Na bado ....nashangaa dume limehamia kwenu kama alivyosema mjumbe wa kamati kuu. ..[emoji13] [emoji13] [emoji13] lakini kinazidi kuporomoka kila siku
aligombea uspika kupitia chama gan? UDP kaenda juz tu hapa
all in all, katokea kwako basiiAcha uzezeta basi, katokea UDP.
Bado Kingunge. Mmoja mmoja anarudi.Wadau,
Aliyewahi kuwa Mbunge na Naibu Waziri katika Serikali ya awamu ya 4, badae akahamia CHADEMA kabla ya kutimkia UDP, Dkt. Goodluck Ole Medeye amerejea rasmi CCM leo.
Amedai ameridhishwa na kasi ya utendaji kazi wa Serikali ya awamu ya tano chini ya JPM.
Karibuni.
PolisisiemAliyekuambia Tanzania kuna upinzani nani?
Baada ya kukosa akasogea UDP(CCM nje ya chama)Huyu si ndio Chadema walimpa fomu akagombee usipika bungeni?
Mwenye tumbo joto, anategemea polisi, bunduki.Chadema inazidi kukimbiwa Mbowe tumbo joto kavurugwa
Nunueni tuSafi sana.
Mkuu Paskali, umeliona vyema tatizo la siasa za karne hii. Kutotaka kushughulikia kiini cha tatizo na kubakia kuridhika kwenye kujibu hoja kwa kutegemea kauli za matusi na mipasho.Mkuu Lusungo, kabla hajahamia UDP, alihamia Chadema, alipoondoka alitoa hoja zake.
Sii wote wanaohamia CCM, wanahamia kwa sababu ya utendaji wa Magufuli, kuna wanaoikimbia Chadema for very genuine valid reasons, hawa ndio ninaosema
CHADEMA mjitafakari msiwabeze wahamaji, wana hoja za msingi. Adui wenu mkuu sio CCM! Lazima mbadilike
Paskali