MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,084
si ndo wewe? mnafurahiiiiiiiiii lol pole zenuWamefanya nn Sasa hao wana CCM
si ndo wewe? mnafurahiiiiiiiiii lol pole zenuWamefanya nn Sasa hao wana CCM
Bruv, nimekuuliza swali, muungwana ujibu swali kwanza. Kama unalakuuliza, ndipo unauliza.Hukusikiliza hoja zao?
Sasa kama wanaokimbia ni "wavulana" tena wenye njaa, shida iko wapi wakiwaacha wanaume peke yao?Strong kivipi wakati kila kukicha mnakimbiwa??
aligombea uspika kupitia chama gan? UDP kaenda juz tu hapaUyu alikua wa UDP sio CDM, atakua kawadanganya hili mumpe dau kubwa.
najua hate wewe unamkubali magufuli japo kimoyo moyotumesikia !waende wote wenye nia ya kutoka chadema tujijue wafia chama
Badaa ya uchaguzi wa kesho manunuzi yatasitishwa kwa muda, hapo target ni issue ya kesho tu.Next week babu yenu El
Haaa..haaa...haaBado Mrema
Wewe ni janga kwa chadema na ni lofaHela za ccm zinaliwa kijinga sana ! Huko tuendako hadi maiti zitahongwa .
He za chadema zinaliwa na wajanja nyie makarai mnapanua vidole tuHela za ccm zinaliwa kijinga sana ! Huko tuendako hadi maiti zitahongwa .