Dkt. Goodluck Ole Medeye arejea rasmi CCM

Dkt. Goodluck Ole Medeye arejea rasmi CCM

Kwa haya manunuzi wanayofanya ccm kwa nchi hii masikini umasikini ambao wao ndo wamesababisha basi hata Mbowe anaweza kurejea ccm ili mradi wampe trillion 5.....
Haki inanunuliwa na rais wa wanyonge anafurahia
 
Wadau,

Aliyewahi kuwa Mbunge na Naibu Waziri katika Serikali ya awamu ya 4, badae akahamia CHADEMA kabla ya kutimkia UDP, Dkt. Goodluck Ole Medeye amerejea rasmi CCM leo.

Amedai ameridhishwa na kasi ya utendaji kazi wa Serikali ya awamu ya tano chini ya JPM.

Karibuni.
Hao wote hawahami eti kwenda kuwatumikia watz,bali ni kwa maslahi binafsi,ikiwemo kushibiswa hayo matumbo yasiyo jaa,kujihakikishia ulinzi wa yale waliyopora kwenye awamu zilizopita na kutegemea kuendeleza uporaji wakiwa huko!huyu mzee kajittajirisha sana huko chukua chako mapema na sasa anahofia kutaifishwa!
 
Mbowe anaboa sana ndo maana hata mimi nimerejea ccm. huyu anatuvunja moyo sana.
 
Aisee tumekuwa wanyonge sana, anyway nitumie maneno ya Katibu Mkuu Dr Mashinji kwamba, "tunamtakia kila la heri".
Maana hii sasa inachosha sasa. Au sijui nisubiri movie ya "ushahidi" wa kuhongwa kutoka kwa Mheshimiwa Producer? 😀😀
 
Wadau,

Aliyewahi kuwa Mbunge na Naibu Waziri katika Serikali ya awamu ya 4, badae akahamia CHADEMA kabla ya kutimkia UDP, Dkt. Goodluck Ole Medeye amerejea rasmi CCM leo.

Amedai ameridhishwa na kasi ya utendaji kazi wa Serikali ya awamu ya tano chini ya JPM.

Karibuni.
What if KARDINALI PENGO akiridhishwa na utendaji wa Rais
 
Kasi ya utendaji kwa mabashite ni kuangusha uchumi, bomoa bomoa, kujichotea trillions hazina bila idhini ya Bunge na kuleta hofu na taharuki kubwa nchini!!!! Shule mlizopitia mlihitimu ujinga wa kiwango cha Bashite.
Una habari na matokeo ya uchaguzi wa marudio wa madiwani?? Chadema wamechezea kichapo cha mbwa mwizi!!! Hapa Kazi tuuuu!!
 
Back
Top Bottom