Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,133
- 48,851
Uyu alikua wa UDP sio CDM, atakua kawadanganya hili mumpe dau kubwa.
Na lipumbaBado Mrema
...ametokea UDP, vipi umevurugwa na matukio yanayoendelea !?tumesikia !waende wote wenye nia ya kutoka chadema tujijue wafia chama
...ametokea UDP, vipi umevurugwa na matukio yanayoendelea !?
Ndio walio na serikaliEbu nipe sababu kuu moja tu ambayo inawafanya wahamie CCM?
kwa huyo mzee alikuwa chadema?Na bado ....nashangaa dume limehamia kwenu kama alivyosema mjumbe wa kamati kuu. ..![]()
![]()
lakini kinazidi kuporomoka kila siku
Lowassa aliwanunua au mlimnunua !?yapi ya kunivuruga? hii ya kuwanunua au ipi?
pole sanaLowassa aliwanunua au mlimnunua !?
Ccm wana nunua, chadema wana nunuliwa ! Biashara maelewano tu.pole sana
Anasafisha njia ya laigwanan.Wadau,
Aliyewahi kuwa Mbunge na Naibu Waziri katika Serikali ya awamu ya 4, badae akahamia CHADEMA kabla ya kutimkia UDP, Dkt. Goodluck Ole Medeye amerejea rasmi CCM leo.
Amedai ameridhishwa na kasi ya utendaji kazi wa Serikali ya awamu ya tano chini ya JPM.
Karibuni.
What a joke! Yaani watu wajitathimini kwa sababu ya Medeye kwenda CCM? Nani alikwambia kuwa upinzani ni kutafuta fursa na kuwa legelege? Umeambiwa wvulana wote wataondoka, huelewi?Kama kuhama ni fedha naamini chadema wangehama wote kuanzia mwenyekiti wa maisha hadi wewe mwenyewe!![]()
badala ya kijitathimini mnakimbilia sababu za kitoto!
![]()
![]()
strong bila watu ...alafu ungejkua sasa hv tumezid kuwa strong wala usingekuaj kuropoka hayo !pole sana
Ha ha ha !alafu ungejkua sasa hv tumezid kuwa strong wala usingekuaj kuropoka hayo !pole sana
Ha ha ha !
Upo mpnz??
strong bila watu ...
unachesha mkuu.
kumbuka nguvu ya chama ni watu.
watu ndio haooo wanayeya.
mimi nimefurahi sana tumempata hadi dkt mihogo.
huyo lazima mkutano wake mmoja tu.chadema laki tano wanarudiCCM aah
Wamefanya nn Sasa hao wana CCMhhahaa wana ccm bwana