Dkt. Goodluck Ole Medeye arejea rasmi CCM

Dkt. Goodluck Ole Medeye arejea rasmi CCM

Wadau
Aliyewahi kuwa Mbunge na Naibu Waziri katika Serikali ya awamu ya 4 Mhesh Olemedeye amerejea rasmi CCM leo. Ameridhishwa na kasi ya utendaji kazi wa Serikali ya awamu ya tano chini ya JPM.
Karibuni.
Sasa kama wanajua wanaugwa mkono na wananchi ngumi,na bunduki za nini?
 
Wadau
Aliyewahi kuwa Mbunge na Naibu Waziri katika Serikali ya awamu ya 4 Mhesh Olemedeye amerejea rasmi CCM leo. Ameridhishwa na kasi ya utendaji kazi wa Serikali ya awamu ya tano chini ya JPM.
Karibuni.

Kwa cheyo nako kumemshinda?
Hahahaha anatapatapa sana Naye
Basi atulie tu aachane na siasa afanye mambo mengine
 
Huyo jamaa alishahama CHADEMA toka mwanzoni mwa mwaka jana kwenda UDP, na huko akawa anahubiri uCCM tu, hana agenda yoyote ya upinzani.

Kusema amehamia tena CCM, maana yake yeye ni ng'ombe aliyekatwa mkia amerejea zizini. Sasa ajipange haswaa kukaa benchi maana Magufuli hanaga mpango wowote wa kuwapa vyeo ng'ombe waliokatwa mikia.
 
sawa !next week lisu
Waende wote ni haki yaO kikatiba, opposite will never die..
Hata Mbowe naye si wakumuamini sana aende tu naye kama ataona inafaa au nae alidhizishwe na kasi ya muheshimiwa
 
EL alimwambia twende, wameenda akajikuta mwenzake anaishi kwenye kiyoyozi yeye anapambana na jua na mvua.
 
Mzee ni well off itafute CV yakd..ana experience ya kutukuka kwenye utawala, nadhani ni utashi wake binafsi sidhani kama amenunuliwa..kwanza kwann anunuliwe? hana impact yyte!
Kifo hakiangalii wewe ni msomi wa kiwango gani ? Hivi Ole Medeye anayoyafanya unaweza kudhani anajua hata kusoma na kuandika ?
 
Kasi ya utendaji kwa mabashite ni kuangusha uchumi, bomoa bomoa, kujichotea trillions hazina bila idhini ya Bunge na kuleta hofu na taharuki kubwa nchini!!!! Shule mlizopitia mlihitimu ujinga wa kiwango cha Bashite.

Wadau
Aliyewahi kuwa Mbunge na Naibu Waziri katika Serikali ya awamu ya 4 Mhesh Olemedeye amerejea rasmi CCM leo. Ameridhishwa na kasi ya utendaji kazi wa Serikali ya awamu ya tano chini ya JPM.
Karibuni.
 
Wadau
Aliyewahi kuwa Mbunge na Naibu Waziri katika Serikali ya awamu ya 4 Mhesh Olemedeye amerejea rasmi CCM leo. Ameridhishwa na kasi ya utendaji kazi wa Serikali ya awamu ya tano chini ya JPM.
Karibuni.
Thanks moderator for making necessary amendment on the heading.
 
Back
Top Bottom