Akili kma za polepole unakurupuka tu huyo yuko udp mshirika wa ccm kitamboWadau,
Aliyewahi kuwa Mbunge na Naibu Waziri katika Serikali ya awamu ya 4, badae akahamia CHADEMA kabla ya kutimkia UDP, Dkt. Goodluck Ole Medeye amerejea rasmi CCM leo.
Amedai ameridhishwa na kasi ya utendaji kazi wa Serikali ya awamu ya tano chini ya JPM.
Karibuni.
Hii ni hatari sanaWadau,
Aliyewahi kuwa Mbunge na Naibu Waziri katika Serikali ya awamu ya 4, badae akahamia CHADEMA kabla ya kutimkia UDP, Dkt. Goodluck Ole Medeye amerejea rasmi CCM leo.
Amedai ameridhishwa na kasi ya utendaji kazi wa Serikali ya awamu ya tano chini ya JPM.
Karibuni.
Kamdhalilisha mwanae .......Kamdhalilisha Josephine Ole Medeye...Wadau,
Aliyewahi kuwa Mbunge na Naibu Waziri katika Serikali ya awamu ya 4, badae akahamia CHADEMA kabla ya kutimkia UDP, Dkt. Goodluck Ole Medeye amerejea rasmi CCM leo.
Amedai ameridhishwa na kasi ya utendaji kazi wa Serikali ya awamu ya tano chini ya JPM.
Karibuni.
Wafia nchi au wafia chama!?tumesikia !waende wote wenye nia ya kutoka chadema tujijue wafia chama
Hii ndiyo kauli dhabiti!!! Kweli wale wote walioko upinzani na wanaiwaza CCM waende!tumesikia !waende wote wenye nia ya kutoka chadema tujijue wafia chama
Huyu alikuwa UDPtumesikia !waende wote wenye nia ya kutoka chadema tujijue wafia chama
Ebu nipe sababu kuu moja tu ambayo inawafanya wahamie CCM?Kama kuhama ni fedha naamini chadema wangehama wote kuanzia mwenyekiti wa maisha hadi wewe mwenyewe![emoji13] [emoji13] badala ya kijitathimini mnakimbilia sababu za kitoto![emoji15] [emoji15]
Maandiko matakatifu yanasema hivi , nanukuu , " AMELAANIWA MTU YULE AMTEGEMEAYE MWANADAMU "Hata wewe utarudi tu CCM....weka akiba ya maneno
Bado Mrema
Ccm wamekosa viungo wa kusajili kabisa yaani wale butu walokuwa chadema wakienda ccm wanaitwa wachezaji boratumesikia !waende wote wenye nia ya kutoka chadema tujijue wafia chama
Wadau,
Aliyewahi kuwa Mbunge na Naibu Waziri katika Serikali ya awamu ya 4, badae akahamia CHADEMA kabla ya kutimkia UDP, Dkt. Goodluck Ole Medeye amerejea rasmi CCM leo.
Amedai ameridhishwa na kasi ya utendaji kazi wa Serikali ya awamu ya tano chini ya JPM.
Karibuni.
Hukusikiliza hoja zao?Ebu nipe sababu kuu moja tu ambayo inawafanya wahamie CCM?