MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,510
Sema bado mgonjwaBado Mrema
Sema bado mgonjwaBado Mrema
Cheyo asingempa uwenyekitiKule alikuwa anatafuta uwenyekiti ili aje kugombea Urais



Wafia chama....kweli mmeshajifia siku nyingi, bado kuzikwa tuutumesikia !waende wote wenye nia ya kutoka chadema tujijue wafia chama
Mjumbe wa kamati kuu ....raisi wa mioyo yenu alisema mmpepata dume.....naona vidume vinakimbia....majike yanasalia!D
dume anakimbiza majike wakazali chama kubwa uku wao wakibaki bila kizazi kijacho,watakoma.

Kama zinaliwa kijinga sana kula na weweHela za ccm zinaliwa kijinga sana ! Huko tuendako hadi maiti zitahongwa .
Wasaliti wanaula watoka mapovu mnatoselewa mbali ! Mtatumika sana kwa gharama ya fanta passion na wali ndondo kudadeki !Kama zinaliwa kijinga sana kula na wewe
Lowasa yuko njiani kurudi CCMHata Mh.Mbowe muda si punde atamuunga mkono Mh.JPM
Lowassa ameinvest sana chadema hakwenda for free alitoa mpunga mrefu sana bado unamuuma...Badoo lowasaaa
wanakimbia unafiki wa chademaUpinzani hakuna mali za dhuluma waliozoea kupata kwa njia za dhuluma wataendelea kurudi CCM kuendelea kupata kwa dhuluma.
Wanakimbia unafiki wenu wa kuyasafisha mafisadi....overHela za ccm zinaliwa kijinga sana ! Huko tuendako hadi maiti zitahongwa .
CCM to UDP to CHAADEMA to CCM to..........? Safari ndefu sana!Wadau,
Aliyewahi kuwa Mbunge na Naibu Waziri katika Serikali ya awamu ya 4, badae akahamia CHADEMA kabla ya kutimkia UDP, Dkt. Goodluck Ole Medeye amerejea rasmi CCM leo.
Amedai ameridhishwa na kasi ya utendaji kazi wa Serikali ya awamu ya tano chini ya JPM.
Karibuni.
Hoja hujibiwa kwa hoja penye hoja.Mkuu Paskali, umeliona vyema tatizo la siasa za karne hii. Kutotaka kushughulikia kiini cha tatizo na kubakia kuridhika kwenye kujibu hoja kwa kutegemea kauli za matusi na mipasho.
Karibu sana Dr,mafuriko hewa ya msanii mamvi ndio yalikuvuruga,ukimfuata mzee wa mafuriko umekwisha yeye mwenyewe ni zigo na keshapoteza mwelekeo yeye na swahiba wake Mwenyekiti wa kudumu wa SACCOS ya HaiWadau,
Aliyewahi kuwa Mbunge na Naibu Waziri katika Serikali ya awamu ya 4, badae akahamia CHADEMA kabla ya kutimkia UDP, Dkt. Goodluck Ole Medeye amerejea rasmi CCM leo.
Amedai ameridhishwa na kasi ya utendaji kazi wa Serikali ya awamu ya tano chini ya JPM.
Karibuni.
Wanakimbilia kunako chimbuko lenyewe na pepo ya mafisadi.Wanakimbia unafiki wenu wa kuyasafisha mafisadi....over