Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,606
- 1,956
Katibu Mkuu wa CCM Dk Bashiru Ali Kakurwa leo Jumamosi Februari 15, 2020 ametembelea na kukagua hatua za mwisho ujenzi wa Soko kuu la kisasa katika Manispaa ya Morogoro.
Soko hilo la kisasa linatarajiwa kukamilika Machi 30, 2020 limegharimu kiasi cha *T. Shs Billioni 11,267,070,127.77 zilizotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Joseph Magufuli*
*"Niliishi Morogoro Kilosa kwa tokea 1986 hadi 1990 kisha nikafundisha Mzumbe mwaka moja, hii ndio sehemu ambayo tukitumia kupata mahitajio yetu, hali ilikuwa mbaya sana hapa hasa kipindi cha mvua, leo huwezi amini soko la kisasa la mfano nadhani hili litakuwa la kwanza nchini Hongereni sana Morogoro kwa kusimamia dhana ya maendeleo kwa wananchi kwa vitendo"* Dk Bashiru Ali Kakurwa
Dk Bashiru Alikuwa ziarani Mkoani Morogoro kuanzia Tarehe 13-15 Februari 2020.
Soko hilo la kisasa linatarajiwa kukamilika Machi 30, 2020 limegharimu kiasi cha *T. Shs Billioni 11,267,070,127.77 zilizotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Joseph Magufuli*
*"Niliishi Morogoro Kilosa kwa tokea 1986 hadi 1990 kisha nikafundisha Mzumbe mwaka moja, hii ndio sehemu ambayo tukitumia kupata mahitajio yetu, hali ilikuwa mbaya sana hapa hasa kipindi cha mvua, leo huwezi amini soko la kisasa la mfano nadhani hili litakuwa la kwanza nchini Hongereni sana Morogoro kwa kusimamia dhana ya maendeleo kwa wananchi kwa vitendo"* Dk Bashiru Ali Kakurwa
Dk Bashiru Alikuwa ziarani Mkoani Morogoro kuanzia Tarehe 13-15 Februari 2020.