Tido alikuwapo uzalendo aliuweka mbele kuliko pesa.Hivi tuacheni unafki ukiwa appointed position Ile Hata kama ni ww utafanya nn zaidi ya kuskiliza maelezo ya waziri na Kula posho zako
Tido alikuwapo uzalendo aliuweka mbele kuliko pesa.Hivi tuacheni unafki ukiwa appointed position Ile Hata kama ni ww utafanya nn zaidi ya kuskiliza maelezo ya waziri na Kula posho zako
Ahaahaaa.Kweli ni polepole.Kijana/Mzee...Kuna mwingine naye anaitwa Polepole ati anatuaminisha kuna ccm mpya, hii nchi haiishi vituko na vichekesho, sijui hawa wapiga dili ni kina nani?
Hakuna tena cha kelele za katiba mpya wala serikali tatu, shenzi type njaa siyo mchezo.
Ayubu Ryoba kipaji chake kimezikwa akiwa hai , ni masikitiko makubwa sana !Watoto wa kitaa tunasema mchawi mpe mwanao akulelee tuone kama atamroga
Nani anamkumbuka Rioba mchambuzi ''uso wa mbuzi". Tasnia ya habari ilililala pale,mzalendo wa kweli na mtetezi wa haki za wanahabari na wala habari
Leo hii ni Mkurugenzi wa TBC kawekwa na chama kwenye mfuko wa shati. Kimyaaaaa kama sio yeye.
Leo hii mwandishi anatiwa ndani na polisi Ayubu Rioba akiwa hana habari,sheria kandamizi inasainiwa na mteule wake sijawahi kumsikia hats akikohoa!
Hivi jamani ukiteuliwa na mtu usiye na imani naye ukakataaa utakuwa umevunja sheria ipi???Maana hii ni aibu kwa Mkurya,Yaaani Chacha anakuwa vile kweli
Inasikitisha sana
Afadhali arudi Darasani. Pengine atafikia kule anakolenga: Ngazi ya Uprofesa. Kwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Mwanataaluma akitoka katika huduma ya kufundisha, UPANDAJI wa MADARAJA unasitishwa. (Ndio Maana Profesa Mshiriki, Dakitari Joyce Ndalichako ilibidi "arudi darasani" kufundisha (baada ya kutoka NECTA), ndipo akaifikia ngazi aliyopo sasa. Akihitaji kumalizia NGAZI, inabidi atoke "Ofisini" na kurudi tena Darasani...Kwa Dakitari Asha Migiro......(naona kaamua kuishia njiani)..Naona kama vile muda sio mrefu atarudi kushika chaki.
Toa kwanza boriti kwenye jicho lako,kabla ya kuona kibanzi kwa mwenzio,!
Kuna watu walimwita lowassa fisadi lissu,mnyika,msigwa lema lakini leo wapo nae kamati kuu na wameufyata
Labda kama kawapa pesa.Mnyika aliapa hadharani ana ushahidi wote,kanywea kabisa.Vipi kama aliwathibitishia kuwa yeye sio fisadi?
ata wewe tukikuteua C.A.G,huu upupu unaouposti humu utakwisha!Watoto wa kitaa tunasema mchawi mpe mwanao akulelee tuone kama atamroga
Nani anamkumbuka Rioba mchambuzi ''uso wa mbuzi". Tasnia ya habari ilililala pale,mzalendo wa kweli na mtetezi wa haki za wanahabari na wala habari
Leo hii ni Mkurugenzi wa TBC kawekwa na chama kwenye mfuko wa shati. Kimyaaaaa kama sio yeye.
Leo hii mwandishi anatiwa ndani na polisi Ayubu Rioba akiwa hana habari,sheria kandamizi inasainiwa na mteule wake sijawahi kumsikia hats akikohoa!
Hivi jamani ukiteuliwa na mtu usiye na imani naye ukakataaa utakuwa umevunja sheria ipi???Maana hii ni aibu kwa Mkurya,Yaaani Chacha anakuwa vile kweli
Inasikitisha sana
ndio
Ni njaa gani hiyooo.!???.... Huyu Polepole labda ila syo Ryoba..Kuna mwingine naye anaitwa Polepole ati anatuaminisha kuna ccm mpya, hii nchi haiishi vituko na vichekesho, sijui hawa wapiga dili ni kina nani?
Hakuna tena cha kelele za katiba mpya wala serikali tatu, shenzi type njaa siyo mchezo.
Labda aanze kujiloga yeye kwanzaWatoto wa kitaa tunasema mchawi mpe mwanao akulelee tuone kama atamroga
Nani anamkumbuka Rioba mchambuzi ''uso wa mbuzi". Tasnia ya habari ilililala pale,mzalendo wa kweli na mtetezi wa haki za wanahabari na wala habari
Leo hii ni Mkurugenzi wa TBC kawekwa na chama kwenye mfuko wa shati. Kimyaaaaa kama sio yeye.
Leo hii mwandishi anatiwa ndani na polisi Ayubu Rioba akiwa hana habari,sheria kandamizi inasainiwa na mteule wake sijawahi kumsikia hats akikohoa!
Hivi jamani ukiteuliwa na mtu usiye na imani naye ukakataaa utakuwa umevunja sheria ipi???Maana hii ni aibu kwa Mkurya,Yaaani Chacha anakuwa vile kweli
Inasikitisha sana
Aliteuliwa mkuu wa wilaya Musoma, Ubungo alikuja uhamisho, kufanya kazi na mkuu wa mkoa ilikuwa shida kidogo kama ulifuatilia tweet zake, alipo sasa ninadhani atapata ahueni ya maisha.Yule jamaa ndo njaa tupu, aliwahi kusema kwamba vyeo vya wakuu wa mikoa na wilaya vifutwe kwa sababu vinachezea pesa ya umma tu wakati hawana kazi, ghafla baada ya mzee kuingia ikulu akamteua kuwa mkuu wa wilaya ya ubungo hahahaha, jamaa akachangamkia fursa japo kwa aibu. Njaa mbaya sana.
Ukitaa post kama hizo hata wenyewe watajiuliza ni kwanini, mwisho wana kuulimboka.Mkuu hata ungekuwa wewe umepewa ulaji lazima ELimu uiweke mfukoni,Njaa Mbaya umuoni le profeseli anavyotumika? Mpinzani Bila hela sio,Nawakubali wapinzani wenye hela kama kina mbowe,Lowassa,Sumaye hawateteleki na hauwezi kuwapa cheo/hela ili wasaliti harakati.
Watoto wa kitaa tunasema mchawi mpe mwanao akulelee tuone kama atamroga
Nani anamkumbuka Rioba mchambuzi ''uso wa mbuzi". Tasnia ya habari ilililala pale,mzalendo wa kweli na mtetezi wa haki za wanahabari na wala habari
Leo hii ni Mkurugenzi wa TBC kawekwa na chama kwenye mfuko wa shati. Kimyaaaaa kama sio yeye.
Leo hii mwandishi anatiwa ndani na polisi Ayubu Rioba akiwa hana habari,sheria kandamizi inasainiwa na mteule wake sijawahi kumsikia hats akikohoa!
Hivi jamani ukiteuliwa na mtu usiye na imani naye ukakataaa utakuwa umevunja sheria ipi???Maana hii ni aibu kwa Mkurya,Yaaani Chacha anakuwa vile kweli
Inasikitisha sana
gorifa ndio nyumba ya namna gani.......tujuzane bana ...wengine sisi ni wageni hapa mjini....Wakati unaendelea kushangaa mwenzio anajenga gorifa
Natumai Rioba bado ni Mhadhiri. Hivyo bado anahitajika awe Mhadhiri mwandamizi, Profesa mshiriki ndipo awe Profesa kamili.Afadhali arudi Darasani. Pengine atafikia kule anakolenga: Ngazi ya Uprofesa. Kwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Mwanataaluma akitoka katika huduma ya kufundisha, UPANDAJI wa MADARAJA unasitishwa. (Ndio Maana Profesa Mshiriki, Dakitari Joyce Ndalichako ilibidi "arudi darasani" kufundisha (baada ya kutoka NECTA), ndipo akaifikia ngazi aliyopo sasa. Akihitaji kumalizia NGAZI, inabidi atoke "Ofisini" na kurudi tena Darasani...Kwa Dakitari Asha Migiro......(naona kaamua kuishia njiani)..
......MURUA! Sawa sawa!Natumai Rioba bado ni Mhadhiri. Hivyo bado anahitajika awe Mhadhiri mwandamizi, Profesa mshiriki ndipo awe Profesa kamili.
Watoto wa kitaa tunasema mchawi mpe mwanao akulelee tuone kama atamroga
Nani anamkumbuka Rioba mchambuzi ''uso wa mbuzi". Tasnia ya habari ilililala pale,mzalendo wa kweli na mtetezi wa haki za wanahabari na wala habari
Leo hii ni Mkurugenzi wa TBC kawekwa na chama kwenye mfuko wa shati. Kimyaaaaa kama sio yeye.
Leo hii mwandishi anatiwa ndani na polisi Ayubu Rioba akiwa hana habari,sheria kandamizi inasainiwa na mteule wake sijawahi kumsikia hats akikohoa!
Hivi jamani ukiteuliwa na mtu usiye na imani naye ukakataaa utakuwa umevunja sheria ipi???Maana hii ni aibu kwa Mkurya,Yaaani Chacha anakuwa vile kweli
Inasikitisha sana