Dkt. Ayub Rioba kwishaaa, leo hajai hata kwenye kiganja

Kuna mwingine naye anaitwa Polepole ati anatuaminisha kuna ccm mpya, hii nchi haiishi vituko na vichekesho, sijui hawa wapiga dili ni kina nani?

Hakuna tena cha kelele za katiba mpya wala serikali tatu, shenzi type njaa siyo mchezo.
Ahaahaaa.Kweli ni polepole.Kijana/Mzee...
 
Watoto wa kitaa tunasema mchawi mpe mwanao akulelee tuone kama atamroga

Nani anamkumbuka Rioba mchambuzi ''uso wa mbuzi". Tasnia ya habari ilililala pale,mzalendo wa kweli na mtetezi wa haki za wanahabari na wala habari

Leo hii ni Mkurugenzi wa TBC kawekwa na chama kwenye mfuko wa shati. Kimyaaaaa kama sio yeye.

Leo hii mwandishi anatiwa ndani na polisi Ayubu Rioba akiwa hana habari,sheria kandamizi inasainiwa na mteule wake sijawahi kumsikia hats akikohoa!

Hivi jamani ukiteuliwa na mtu usiye na imani naye ukakataaa utakuwa umevunja sheria ipi???Maana hii ni aibu kwa Mkurya,Yaaani Chacha anakuwa vile kweli

Inasikitisha sana
Ayubu Ryoba kipaji chake kimezikwa akiwa hai , ni masikitiko makubwa sana !
 
Naona kama vile muda sio mrefu atarudi kushika chaki.
Afadhali arudi Darasani. Pengine atafikia kule anakolenga: Ngazi ya Uprofesa. Kwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Mwanataaluma akitoka katika huduma ya kufundisha, UPANDAJI wa MADARAJA unasitishwa. (Ndio Maana Profesa Mshiriki, Dakitari Joyce Ndalichako ilibidi "arudi darasani" kufundisha (baada ya kutoka NECTA), ndipo akaifikia ngazi aliyopo sasa. Akihitaji kumalizia NGAZI, inabidi atoke "Ofisini" na kurudi tena Darasani...Kwa Dakitari Asha Migiro......(naona kaamua kuishia njiani)..
 
Toa kwanza boriti kwenye jicho lako,kabla ya kuona kibanzi kwa mwenzio,!
Kuna watu walimwita lowassa fisadi lissu,mnyika,msigwa lema lakini leo wapo nae kamati kuu na wameufyata


Vipi kama aliwathibitishia kuwa yeye sio fisadi?
 
Vipi kama aliwathibitishia kuwa yeye sio fisadi?
Labda kama kawapa pesa.Mnyika aliapa hadharani ana ushahidi wote,kanywea kabisa.
Kama aliwathibitishia kuwa yeye sio fisadi,waje kwa wananche waseme kuwa walikuwa wanamchafua bure tu lowassa na waombe radhi hadharani
 
Watoto wa kitaa tunasema mchawi mpe mwanao akulelee tuone kama atamroga

Nani anamkumbuka Rioba mchambuzi ''uso wa mbuzi". Tasnia ya habari ilililala pale,mzalendo wa kweli na mtetezi wa haki za wanahabari na wala habari

Leo hii ni Mkurugenzi wa TBC kawekwa na chama kwenye mfuko wa shati. Kimyaaaaa kama sio yeye.

Leo hii mwandishi anatiwa ndani na polisi Ayubu Rioba akiwa hana habari,sheria kandamizi inasainiwa na mteule wake sijawahi kumsikia hats akikohoa!

Hivi jamani ukiteuliwa na mtu usiye na imani naye ukakataaa utakuwa umevunja sheria ipi???Maana hii ni aibu kwa Mkurya,Yaaani Chacha anakuwa vile kweli

Inasikitisha sana
ata wewe tukikuteua C.A.G,huu upupu unaouposti humu utakwisha!
 

Zamani kabla watu hawajaustukia huo upuuzi wenu mlikuwa mkiwa provoke watu walikuwa wanaacha mada husika wanajadili huo upuuzi wenu. Baada ya watu kuwastukia wanawapotezea na kubaki njia kuu. Ndio kama hivi watu wako na Rioba tu wamekuacha umesimama na hilo tope lako hapo nyuma.
 
Kuna mwingine naye anaitwa Polepole ati anatuaminisha kuna ccm mpya, hii nchi haiishi vituko na vichekesho, sijui hawa wapiga dili ni kina nani?

Hakuna tena cha kelele za katiba mpya wala serikali tatu, shenzi type njaa siyo mchezo.
Ni njaa gani hiyooo.!???.... Huyu Polepole labda ila syo Ryoba..
 
Watoto wa kitaa tunasema mchawi mpe mwanao akulelee tuone kama atamroga

Nani anamkumbuka Rioba mchambuzi ''uso wa mbuzi". Tasnia ya habari ilililala pale,mzalendo wa kweli na mtetezi wa haki za wanahabari na wala habari

Leo hii ni Mkurugenzi wa TBC kawekwa na chama kwenye mfuko wa shati. Kimyaaaaa kama sio yeye.

Leo hii mwandishi anatiwa ndani na polisi Ayubu Rioba akiwa hana habari,sheria kandamizi inasainiwa na mteule wake sijawahi kumsikia hats akikohoa!

Hivi jamani ukiteuliwa na mtu usiye na imani naye ukakataaa utakuwa umevunja sheria ipi???Maana hii ni aibu kwa Mkurya,Yaaani Chacha anakuwa vile kweli

Inasikitisha sana
Labda aanze kujiloga yeye kwanza
 
Yule jamaa ndo njaa tupu, aliwahi kusema kwamba vyeo vya wakuu wa mikoa na wilaya vifutwe kwa sababu vinachezea pesa ya umma tu wakati hawana kazi, ghafla baada ya mzee kuingia ikulu akamteua kuwa mkuu wa wilaya ya ubungo hahahaha, jamaa akachangamkia fursa japo kwa aibu. Njaa mbaya sana.
Aliteuliwa mkuu wa wilaya Musoma, Ubungo alikuja uhamisho, kufanya kazi na mkuu wa mkoa ilikuwa shida kidogo kama ulifuatilia tweet zake, alipo sasa ninadhani atapata ahueni ya maisha.
 
Mkuu hata ungekuwa wewe umepewa ulaji lazima ELimu uiweke mfukoni,Njaa Mbaya umuoni le profeseli anavyotumika? Mpinzani Bila hela sio,Nawakubali wapinzani wenye hela kama kina mbowe,Lowassa,Sumaye hawateteleki na hauwezi kuwapa cheo/hela ili wasaliti harakati.
Ukitaa post kama hizo hata wenyewe watajiuliza ni kwanini, mwisho wana kuulimboka.
 
Watoto wa kitaa tunasema mchawi mpe mwanao akulelee tuone kama atamroga

Nani anamkumbuka Rioba mchambuzi ''uso wa mbuzi". Tasnia ya habari ilililala pale,mzalendo wa kweli na mtetezi wa haki za wanahabari na wala habari

Leo hii ni Mkurugenzi wa TBC kawekwa na chama kwenye mfuko wa shati. Kimyaaaaa kama sio yeye.

Leo hii mwandishi anatiwa ndani na polisi Ayubu Rioba akiwa hana habari,sheria kandamizi inasainiwa na mteule wake sijawahi kumsikia hats akikohoa!

Hivi jamani ukiteuliwa na mtu usiye na imani naye ukakataaa utakuwa umevunja sheria ipi???Maana hii ni aibu kwa Mkurya,Yaaani Chacha anakuwa vile kweli

Inasikitisha sana


Nacho kiona hapo Kwa mleta Uzi ni wivu na kuamini unacho waza wewe lazma kiwe sahihi.

Fikiri sahihi
 
Afadhali arudi Darasani. Pengine atafikia kule anakolenga: Ngazi ya Uprofesa. Kwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Mwanataaluma akitoka katika huduma ya kufundisha, UPANDAJI wa MADARAJA unasitishwa. (Ndio Maana Profesa Mshiriki, Dakitari Joyce Ndalichako ilibidi "arudi darasani" kufundisha (baada ya kutoka NECTA), ndipo akaifikia ngazi aliyopo sasa. Akihitaji kumalizia NGAZI, inabidi atoke "Ofisini" na kurudi tena Darasani...Kwa Dakitari Asha Migiro......(naona kaamua kuishia njiani)..
Natumai Rioba bado ni Mhadhiri. Hivyo bado anahitajika awe Mhadhiri mwandamizi, Profesa mshiriki ndipo awe Profesa kamili.
 
Watoto wa kitaa tunasema mchawi mpe mwanao akulelee tuone kama atamroga

Nani anamkumbuka Rioba mchambuzi ''uso wa mbuzi". Tasnia ya habari ilililala pale,mzalendo wa kweli na mtetezi wa haki za wanahabari na wala habari

Leo hii ni Mkurugenzi wa TBC kawekwa na chama kwenye mfuko wa shati. Kimyaaaaa kama sio yeye.

Leo hii mwandishi anatiwa ndani na polisi Ayubu Rioba akiwa hana habari,sheria kandamizi inasainiwa na mteule wake sijawahi kumsikia hats akikohoa!

Hivi jamani ukiteuliwa na mtu usiye na imani naye ukakataaa utakuwa umevunja sheria ipi???Maana hii ni aibu kwa Mkurya,Yaaani Chacha anakuwa vile kweli

Inasikitisha sana

Kujitoa mhanga kama akina Lawrence Mafuru na Dkt. Mwele Malecela inataka moyo na inahitaji ujasiri uliotukuka.
 
Back
Top Bottom