Mwanapropaganda
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,235
- 2,501
Huyo jamaa kuna makala yake moja aliiandika kwenye gazeti la Raia Mwema nikasema huyu jamaa alitakiwa awe serikalini tena apewe wizara kabisa maana ana upeo mkubwa sana ila tangu ateuliwe na ccm kuwa mkurugenzi wa Tbccm amekuwa yupo kama hayupo. Kweli njaa mbaya sana.