Dkt. Ayub Rioba akanusha vikali kuondoka TBC, awaomba Watanzania wapuuze uvumi

Replica

JF-Expert Member
Aug 28, 2017
1,445
7,812
Dkt. Ayub Rioba jana alipata fursa ya kuongea kwenye kipindi cha Jambo Tanzania kinachorushwa na TBC 1 na kuelezea mambo mengi yanayolihusu shirika ikiwemo kuanzisha chaneli ya kiingereza kuwakabili watu wanaoisema vibaya Tanzania huko duniani. Pia lilikuwepo swali la tetesi za yeye kuachia ngazi TBC.

Mwandishi: Kuna tetesi kwamba una mpango wa kuliacha shirika la utangazaji Tanzania, tunaomba ufafanuzi.

Dkt. Rioba: Ndugu zangu, mimi nilijua mmeniita nije kuzungumzia shirika linapoelekea. Nitakuwa mtu wa ajabu endapo nitakaa hapa halafu naanza kuzungumzia sijui kuacha, unaachaje shirika?

Mimi labda nizungumze kitu kimoja, kwanza nimshukuru Mungu, tokea redio na televisheni zilipoletwa pamoja, mimi nimekuwa mkurugenzi mkuu ambae nimekaa muda mrefu kuliko wote. Wa kwanza alikaa miaka miwili na kitu, wa pili miaka mitatu, wa tatu miaka minne, mimi nimekaa sita ikifika Machi.

Mimi ni mwanahabari nafatilia mitandao ya kijamii sana lakini kabla sijateuliwa nilikuwa najaribu kubobea sana hili la matumizi ya social media na ICT. Nilikuwa nafundisha kwa mfano kitu kinaitwa 'Fake News'

Utajuaje kwamba hii si kweli, utakumbuka hata TBC tuliwahi kuingia mkenge, tukatangaza lihabari ambalo tumeliokota huko kwenye mtandao.

Kwa mfano unasoma kitu, mtu anasema aliyekuwa, kiingereza wamesema 'former'. Hivi mimi ni 'former'? Mimi ni mkurugenzi mkuu mpaka navyozungumza hivi.

Swala la Mheshimiwa Rais kuteua mtu mwingine ni suala lake, ni mamlaka yake atakavyoona yeye, haina maana mimi nitakaa hapa milele, ipo siku nitaondoka kwa namna yoyote ile lakini nawaomba watanzania wapuuze uvumi, haukuanza leo, umeanza tokea mwaka jana, nafikiri waupuuze tu.

Nilikuwepo ofisini mwaka jana nikaenda likizo, nikiwa likizo nikapata taarifa mdogo wangu amefariki. Nikaomba niongezewe siku angalau kukaa kwasababu ya msiba lakini mimi nimekuwa kazini siku zote. Lakini nanii unamuita bosi wako halafu unaanza kuuliza maswali ya kichokozi
 
ivi kwa nini AIrport hamna mlango wa nyumaaa.... unaenda unaonekana umeingiaaa ka waenda panda ndege then unapita lango wa nyuma unasepaaa
 
Alooooo,huyo ndio mkurugenzi mtendaji ameitwa na akaitikia wito lakini hakujua anaenda kuzungumzia nini.
Huo weledi wa mkurugenzi upo wapi hapo? Angewezaje kuzungumzia jambo kwa kina?
Huo sio ukanjanja kweli? Eti anajisifia kukaa muda mrefu kuliko mkurugenzi yeyote . Tuambie umefanya nini sasa.

TBC imepigwa na kitu kizito tena chenye ncha kali.
 
Huyu ni 'stooge' wa yeyote aliepo madarakani, tunakumbuka wakati wa Magu alipoanzisha vipindi vingi vya kumsifu na kumuabudu.
Hana ethics yoyote ile wala ujuzi na ubunifu wa vyombo vya habari sawa na Musiba tuu.
Tatizo jamaa kitakachomuondoa hapo kuna siku atalewa mipombe yake ajichanganye.
 
Alooooo,huyo ndio mkurugenzi mtendaji ameitwa na akaitikia wito lakini hakujua anaenda kuzungumzia nini.
Huo weledi wa mkurugenzi upo wapi hapo? Angewezaje kuzungumzia jambo kwa kina?

TBC imepigwa na kitu kizito
Anazuga kaitwa kumbe ni yeye mwenyew kajitengenezea wasaa wa kufafanua ya mitandaoni... Just wanatuchezea akili
 
Dkt. Ayub Rioba jana alipata fursa ya kuongea kwenye kipindi cha Jambo Tanzania kinachorushwa na TBC 1 na kuelezea mambo mengi yanayolihusu shirika ikiwemo kuanzisha chaneli ya kiingereza kuwakabili watu wanaoisema vibaya Tanzania huko duniani. Pia lilikuwepo swali la tetesi za yeye kuachia ngazi TBC.

Mwandishi: Kuna tetesi kwamba una mpango wa kuliacha shirika la utangazaji Tanzania, tunaomba ufafanuzi.

Dkt. Rioba: Ndugu zangu, mimi nilijua mmeniita nije kuzungumzia shirika linapoelekea. Nitakuwa mtu wa ajabu endapo nitakaa hapa halafu naanza kuzungumzia sijui kuacha, unaachaje shirika?

Mimi labda nizungumze kitu kimoja, kwanza nimshukuru Mungu, tokea redio na televisheni zilipoletwa pamoja, mimi nimekuwa mkurugenzi mkuu ambae nimekaa muda mrefu kuliko wote. Wa kwanza alikaa miaka miwili na kitu, wa pili miaka mitatu, wa tatu miaka minne, mimi nimekaa sita ikifika Machi.

Mimi ni mwanahabari nafatilia mitandao ya kijamii sana lakini kabla sijateuliwa nilikuwa najaribu kubobea sana hili la matumizi ya social media na ICT. Nilikuwa nafundisha kwa mfano kitu kinaitwa 'Fake News'

Utajuaje kwamba hii si kweli, utakumbuka hata TBC tuliwahi kuingia mkenge, tukatangaza lihabari ambalo tumeliokota huko kwenye mtandao.

Kwa mfano unasoma kitu, mtu anasema aliyekuwa, kiingereza wamesema 'former'. Hivi mimi ni 'former'? Mimi ni mkurugenzi mkuu mpaka navyozungumza hivi.

Swala la Mheshimiwa Rais kuteua mtu mwingine ni suala lake, ni mamlaka yake atakavyoona yeye, haina maana mimi nitakaa hapa milele, ipo siku nitaondoka kwa namna yoyote ile lakini nawaomba watanzania wapuuze uvumi, haukuanza leo, umeanza tokea mwaka jana, nafikiri waupuuze tu.

Nilikuwepo ofisini mwaka jana nikaenda likizo, nikiwa likizo nikapata taarifa mdogo wangu amefariki. Nikaomba niongezewe siku angalau kukaa kwasababu ya msiba lakini mimi nimekuwa kazini siku zote. Lakini nanii unamuita bosi wako halafu unaanza kuuliza maswali ya kichokozi

Sawa ila muda si mrefu anang’olewa pale
 
Tangu Tido kaondoka..sijawahi angaliaTbc..sivutiwi na vipindi vyao tena..na imekua one sided sana +uchawa
 
Hana jipya ajiandae kuondoka hapo Tena kitendo chake Cha kuja kujitetea ndio Kama anamuamsha bi mkora atafute mtu wake.

Tusubiri kobazi inaingia hapo mtaniambia.
 
Dkt. Ayub Rioba jana alipata fursa ya kuongea kwenye kipindi cha Jambo Tanzania kinachorushwa na TBC 1 na kuelezea mambo mengi yanayolihusu shirika ikiwemo kuanzisha chaneli ya kiingereza kuwakabili watu wanaoisema vibaya Tanzania huko duniani. Pia lilikuwepo swali la tetesi za yeye kuachia ngazi TBC.

Mwandishi: Kuna tetesi kwamba una mpango wa kuliacha shirika la utangazaji Tanzania, tunaomba ufafanuzi.

Dkt. Rioba: Ndugu zangu, mimi nilijua mmeniita nije kuzungumzia shirika linapoelekea. Nitakuwa mtu wa ajabu endapo nitakaa hapa halafu naanza kuzungumzia sijui kuacha, unaachaje shirika?

Mimi labda nizungumze kitu kimoja, kwanza nimshukuru Mungu, tokea redio na televisheni zilipoletwa pamoja, mimi nimekuwa mkurugenzi mkuu ambae nimekaa muda mrefu kuliko wote. Wa kwanza alikaa miaka miwili na kitu, wa pili miaka mitatu, wa tatu miaka minne, mimi nimekaa sita ikifika Machi.

Mimi ni mwanahabari nafatilia mitandao ya kijamii sana lakini kabla sijateuliwa nilikuwa najaribu kubobea sana hili la matumizi ya social media na ICT. Nilikuwa nafundisha kwa mfano kitu kinaitwa 'Fake News'

Utajuaje kwamba hii si kweli, utakumbuka hata TBC tuliwahi kuingia mkenge, tukatangaza lihabari ambalo tumeliokota huko kwenye mtandao.

Kwa mfano unasoma kitu, mtu anasema aliyekuwa, kiingereza wamesema 'former'. Hivi mimi ni 'former'? Mimi ni mkurugenzi mkuu mpaka navyozungumza hivi.

Swala la Mheshimiwa Rais kuteua mtu mwingine ni suala lake, ni mamlaka yake atakavyoona yeye, haina maana mimi nitakaa hapa milele, ipo siku nitaondoka kwa namna yoyote ile lakini nawaomba watanzania wapuuze uvumi, haukuanza leo, umeanza tokea mwaka jana, nafikiri waupuuze tu.

Nilikuwepo ofisini mwaka jana nikaenda likizo, nikiwa likizo nikapata taarifa mdogo wangu amefariki. Nikaomba niongezewe siku angalau kukaa kwasababu ya msiba lakini mimi nimekuwa kazini siku zote. Lakini nanii unamuita bosi wako halafu unaanza kuuliza maswali ya kichokozi
Dr, Rioba kuna kitu anashidwa kuweka wazi....
Siyo bure siku zote yupo kimya.....then anakuja kutuzuga hapa Kiaina flani ivi

Toka mwaka jana tunajua alishajiuzulu, leo anakuja kusema ety nilikuwa nipo likizo...
.....Kwa ushauri wangu ningemwomba ajiuzulu hiyo wadhifa ili hasiendelee kuleta taharuki zaidi...... kama inavyo onanyesha.... kwa sasa..

Then toka hapewe iyo nafasi hakuna ubunifu yoyte , aliyo fanya zaidi ya wananchi kuichukia TBC ...,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom