WA PATI
Senior Member
- Aug 20, 2013
- 195
- 211
si kukujaza ujinga labda hujanielewa na sijamaanisha ukitemwa hupati kazi nilichomaanisha wateuliwa wote lazima wafuate masharti ya walowateuwa kinyume na hapo unatimuliwa hilo halina mjadala otherwise kataa uteuzi.Acha kunijaza ujinga wewe,kama unaiamini taaluma yako hakuna kupelekeshwa.Tido alitemwa ndio lakini leo yupo wapi?
Kwa mtu kama Lyoba unataka kuniambia akitemwa atasota nyumbani au?
Hakuna haja ya kuitwa mtaalamu kama mwisho wa siku utafanya tofauti na taaluma yako.