minda
JF-Expert Member
- Oct 2, 2009
- 1,068
- 65
mkuu napenda kuchangia lakini nimegundua yafuatayo:
well, hongera mkuu umeongeza idadi ya posts.
- hujui context halisi ya neno kuchakachua,
- hiyo barua haioneshi sehemu yoyote jina la dr ws,
- hiyo barua sio ya jana ilikuwepo tangia kipindi cha kampeni za uchaguzi,
- hujatuambia uchakachuaji huo alioufanya mtajwa umefanyikaje katika barua tajwa.
- uchakachuaji unaozungumziwa ni ule unaodhaniwa kufanywa na serikali na si mtajwa.
well, hongera mkuu umeongeza idadi ya posts.