Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Naomba nianze na shame on him
mungu ndie unaejua hii nchi inapoelekea
katika hali ya kuaibisha jana usiku kwenye mida ya saa mojananusu usku mkurugenzi wa ipz ya exterenal
akiwa amekaa na singa singa wawili wakiwa wanapiga story ..ilianza kama hivi
alifika kwanza dk baada ya hapo akaja mzee mmoja singasinga baada ya hapo wa pili akafika wakaongea tangu saa kuminambili na nusu ..ilipofika usiku yule dk akatoka nje akaingia ndani na mfuko kama anampa zawadi wale masingasinga
bila kujua amekaa na nnani akaanza kuongea nao na ilipofika wakati ule dk akaanza kuangalia kulia na kushoto ni pale recep bila aibu akamsogezea yule singa singa mfuko yule bwana alikuwa amefungua pochi si pochi imefungwa nene akaangalia na yeye kulia akaiingiza kwenye mfuko pasipo na aibu mkurugenzi huyo akaamka akaenda chooni aliporudi akachukua ule mfuko ambamo ndani uliwekwa hayo msaham sham...ni aibu kwa waliokuwwepo nandhan tulianza kucheka wenyewe na alipohisi kitu akapiga simu gafla akaita wakaja vijana wawili hao wakachukua ule mfuko wa plastick na yeye kuwafwata nyuma....nimeona si vyema haya mambo yakatupita hivi nimejua kumbe ile movenpick ni kichaka cha kugaiana pesa za milungula
mungu aturehemu kwakweli huyu ndie tunaemtegema kwenyeuwekezaji pale extrenal river sida kazi ipo
mungu ndie unaejua hii nchi inapoelekea
katika hali ya kuaibisha jana usiku kwenye mida ya saa mojananusu usku mkurugenzi wa ipz ya exterenal
akiwa amekaa na singa singa wawili wakiwa wanapiga story ..ilianza kama hivi
alifika kwanza dk baada ya hapo akaja mzee mmoja singasinga baada ya hapo wa pili akafika wakaongea tangu saa kuminambili na nusu ..ilipofika usiku yule dk akatoka nje akaingia ndani na mfuko kama anampa zawadi wale masingasinga
bila kujua amekaa na nnani akaanza kuongea nao na ilipofika wakati ule dk akaanza kuangalia kulia na kushoto ni pale recep bila aibu akamsogezea yule singa singa mfuko yule bwana alikuwa amefungua pochi si pochi imefungwa nene akaangalia na yeye kulia akaiingiza kwenye mfuko pasipo na aibu mkurugenzi huyo akaamka akaenda chooni aliporudi akachukua ule mfuko ambamo ndani uliwekwa hayo msaham sham...ni aibu kwa waliokuwwepo nandhan tulianza kucheka wenyewe na alipohisi kitu akapiga simu gafla akaita wakaja vijana wawili hao wakachukua ule mfuko wa plastick na yeye kuwafwata nyuma....nimeona si vyema haya mambo yakatupita hivi nimejua kumbe ile movenpick ni kichaka cha kugaiana pesa za milungula
mungu aturehemu kwakweli huyu ndie tunaemtegema kwenyeuwekezaji pale extrenal river sida kazi ipo