Dk. Kitila Mkumbo ajitambulisha rasmi ACT

Dk. Kitila Mkumbo ajitambulisha rasmi ACT

Napenda kukiona hiki chama kikiendesha siasa zake nilinganishe na vyama vingine.
 
Wakati akihojiwa na radio clouse fm asubuhi kada huyo wa chadema zamani,amesema anamtaka zitto ajiunge na act ili akagombee uwenyekiti katika chama chao kwakua ana akili nyingi sana;je wanachama wengine hawana akili? Je kwanini asiwakaribishe kugombea wanachama wote,je kwanini zitto wakati anajua yupo chadema?je hiyo ndio demokrasia waliyo isema haipo chadema?kwanini uwe na timu utegemee wachezaji wa timu pinzani?wana jamvi kumbukeni wapo wasomi wengi walijifanya wajuaji waka anzisha vyama mwisho wakafulia wao na vyama vyao wakapotea katika ramani ya siasa tz,karibuni act tz ila acheni majungu chadema ni mwalimu wenu mtake msitake,kuche kuchwe
 
huyo kitila akaandae waraka mwengine ili uchaguz ukifanyka ndan ya ACT wampigie kura zitto.....tena waandae mtandao ndan ya chama kuanzia ngaz ya matawi ili wamchague zitto kuwa mwenykiti kwa sabb hyo ndo eti siasa za ushindan kwa mjibu wa kitilya
 
Maskini weee kwa hiyo demokrasia ya Kitila ni ya kutaka mtu amtakaye awe mwenyekiti mwenyekiti wa muda LImbu Malaya wa kisiasa ADC amemuachia nani tangu CCM,UDP,TLP,CUF a mwisho ACT LImbu anasema ana demokrasia ipi
 
act ipo kwajili ya kudhofisha upinzani wanafadhaliwa na tiss na ccm.juzi walikuwa hapa wanashawishi vijana wajiunge na act unapewa 2000 nakadi unapewa.chakushangaza wanachosema hakina mshko ni kuponda cdm eti chama cha wakristo kweli inasikitisha

Ndiyo kazi yetu kuu tuliyotumwa hiyo. Hamna kitu kingine mkuu wangu.
ACT chama makini
 
Ngoja niangalie mwenendo wa hiki chama,naweza kushawishika kujiunga nacho,kwa sasa ngoja nibaki bila chama.
 
Kama UKAWA kweli wamejiunga basi for the Case of a Common Cause na hawa ACT wajiunge na UKAWA

CDM watatutoa resi ila tungeweza kuingia hapo ndani ya UKAWA ingekuwa safi lkn tuko tumejipanga tuna watu wengi kuna kitu tutapenyeza pale ili tuwavuruge TU.
ACT-Tanzani karibuni wote. Msiache kututembelea na kule New Zealand makao makuu
 
Watapunguza kura vipi wakati mnasema hawakubaliki.
unajifanya hujui wakati mkakati huo umeasisiwa na chama tawala!! Good enough CDM walistuka mapema vinginevyo ni kweli kama alivyosema waziri Wasira kwamba hadi muda huu game was over!!

Hii kitu kitu haina impact kubwa sana kwani ujio wa UKAWA umevuruga kila kitu, inabidi wajipange upya!! "Missing in action IV"
 
Chadema wanahangaika sana naona wamechanganyikiwa kabisa na hizi habari.

Ntashangaa sana kama kuna CHADEMA atakayechanganyikiwa na hizi long expected news. Hivi unajua kwa nini Mwigulu kawekwa Wizara ya fedha katika kipindi hiki kuelekea 2015?
 
Wakati akihojiwa na radio clouse fm asubuhi kada huyo wa chadema zamani,amesema anamtaka zitto ajiunge na act ili akagombee uwenyekiti katika chama chao kwakua ana akili nyingi sana;je wanachama wengine hawana akili? Je kwanini asiwakaribishe kugombea wanachama wote,je kwanini zitto wakati anajua yupo chadema?je hiyo ndio demokrasia waliyo isema haipo chadema?kwanini uwe na timu utegemee wachezaji wa timu pinzani?wana jamvi kumbukeni wapo wasomi wengi walijifanya wajuaji waka anzisha vyama mwisho wakafulia wao na vyama vyao wakapotea katika ramani ya siasa tz,karibuni act tz ila acheni majungu chadema ni mwalimu wenu mtake msitake,kuche kuchwe
Inaelekea bila Zitto, Dr. Kitila ni mburula tu!! Na je Zitto akiukosa huo uenyekiti Kitila atahama chama?!
 
Safi mwana. CHADEMA kilijionyesha kama chama cha kuwakomboa maskini kumbe hata pesa zenyewe wanahongwa na kina Rostam Azizi wanayedai ni fisadi.

Hapo ndipo unapo haribu kwa nini uitaje cdm tu peke yske wakati ccm nao ndio vinara wA uharibifu.
 
huyo kitila akaandae waraka mwengine ili uchaguz ukifanyka ndan ya ACT wampigie kura zitto.....tena waandae mtandao ndan ya chama kuanzia ngaz ya matawi ili wamchague zitto kuwa mwenykiti kwa sabb hyo ndo eti siasa za ushindan kwa mjibu wa kitilya

Chezea m-pesa ya sh 250 000 weye.Dr hasikii wala haambiwi juu ya Zitto
 
Dk. Kitila Mkumbo amejitambulisha rasmi kuwa ni mwanachama wa ACT kupitia Clouds fm leo asubuhi amesema atamshauri Zitto aje kugombea uwenyekiti.

==============

JamiiForums imefanikiwa kumtafuta Dr. Kilila Mkumbo kuthibitisha habari hii. Amekiri kuongena na Clouds FM na kwamba yeye ni Mwanachama wa Alliance for Change and Transparency (ACT).

Atamshauri Zitto aje?
Uwazi huanzia hapo na hapo mnatudanganya!!!!!
 
great... wacha hivi vyama vya wapinzani viwe vingi hadi alfu then tuachane navyo tu maana wao hawana suluhu zaidi ya kuongeza idadi ya vioski
 
Back
Top Bottom