Dk. Kitila Mkumbo ajitambulisha rasmi ACT

Dk. Kitila Mkumbo ajitambulisha rasmi ACT

Watapunguza kura vipi wakati mnasema hawakubaliki.

Wameasisiwa na serilkali ya CCM na wanapewa nguvu ya pesa ili tu waende kwa wajinga wenzao kufanikisha kupunguza kura za CDM
 
The issue is, ccm wataendelea kuwa finance? Lengo lilikua kuiua CDM kwa yeye kua mwenyekiti, sasa anaenda kua mwenyekiti wa chama dhaifu, cjui ni suala la muda, ngoja tuone!
 
Chadema walikurupuka bila kupima upepo. Sasa kuna wabunge 24 wa chadema wanaomuunga mkono Zitto watafuata nyayo ikiwa jamaa ataondoka CDM.

Mmmhhh mkuu itakua hela wamekula ila hawatahamia

kumbuka mh Mchemba alisema hayo maneno mwaka 2012.
 
Habari ya upinzani kuja kuongoza nchi hii bado sana endeleeni tu kuunda tu hivyo vyama vyenu Well Done CCM Mungu akuongeze miaka 50 Mingine Amen!
 
Mwana umeokoka sasa. Kwasasa yule shetani mwenye afadhali kisha tunamuunga mkono.

Ni bora kuwa neutral kuliko kuwa mshabiki wa upande fulani,wanasiasa wote ni baba mmoja mama mmoja.
 
kuna list ndefu sana ya viongozi wa kisiasa walioomba kujiunga na chama makin cha ACT. Hakika ACT ndio mkombozi wa taifa
 
Kama ninavyowaambia kila siku ACT-Tanzania ni chama makini cha kupambana na Chadema TU.
Hatuna kazi nyingine sisi, wala hatutaki uongozi wa lolote zaidi ya kuivuruga CDM.
Lastime tulikuwa kule ndani wakatushtukia wakatufukuza ikabidi tuje na plan B.
ACT-Tanzania chama makini kwa kuvuruga tu.
 
Ila wananchi kama hatutakuwa makini na hawa MAMULUKI ambao zaidi ni KITIRA& ZZK wala hatutafika mungu 2saidie na WAOVU
 
Mmmhhh mkuu itakua hela wamekula ila hawatahamia

kumbuka mh Mchemba alisema hayo maneno mwaka 2012.

Chadema kama lengo lilikuwa ni kuwa na chama cha kikabila au kidini wameshafanikiwa sasa chama cha upinzani cha kitaifa kimeshapatikana. Tunasonga mbele.
 
Dk kitila mkumbo amejitambulisha rasmi kuwa ni mwanachama wa act kupitia clouds fm leo asubuhi amesema atamshauri zito aje kugombea uwenyekiti.

Association for Core-betrayers Transformation (ACT). Hongereni sanaaaaa.
 
Kama ninavyowaambia kila siku ACT-Tanzania ni chama makini cha kupambana na Chadema TU.
Hatuna kazi nyingine sisi, wala hatutaki uongozi wa lolote zaidi ya kuivuruga CDM.
Lastime tulikuwa kule ndani wakatushtukia wakatufukuza ikabidi tuje na plan B.
ACT-Tanzania chama makini kwa kuvuruga tu.

unajiaibisha sana... Haya maneno ukiyasoma mwenyewe unaona aibu.. Kweli kushkiwa akili ni kubaya sana
 
Ni bora kuwa neutral kuliko kuwa mshabiki wa upande fulani,wanasiasa wote ni baba mmoja mama mmoja.

Safi mwana. CHADEMA kilijionyesha kama chama cha kuwakomboa maskini kumbe hata pesa zenyewe wanahongwa na kina Rostam Azizi wanayedai ni fisadi.
 
ACT ni chama kinachofuata misingi ya demokrasia
 
Back
Top Bottom