Wakati akihojiwa na radio clouse fm asubuhi kada huyo wa chadema zamani,amesema anamtaka zitto ajiunge na act ili akagombee uwenyekiti katika chama chao kwakua ana akili nyingi sana;je wanachama wengine hawana akili? Je kwanini asiwakaribishe kugombea wanachama wote,je kwanini zitto wakati anajua yupo chadema?je hiyo ndio demokrasia waliyo isema haipo chadema?kwanini uwe na timu utegemee wachezaji wa timu pinzani?wana jamvi kumbukeni wapo wasomi wengi walijifanya wajuaji waka anzisha vyama mwisho wakafulia wao na vyama vyao wakapotea katika ramani ya siasa tz,karibuni act tz ila acheni majungu chadema ni mwalimu wenu mtake msitake,kuche kuchwe
Hivyo atakuwa mwenyekiti wa kudumu!Baba mwenye nyumba hawezi kosa uenyekiti mkuu......
Dr Kitila na Zitto Kabwe sio tu ni wanachama wa ACT bali wao ndio Waasisi na Financier wa ACT toka waliposhtukiwa Chadema. Wapo pia akina Mchange, na huenda hata Dr Bashiru wa UDSM naye yumo. Ndio maana unasikia hata Wasomi wanaiunga mkono ACT. Nawatakia kila la heri iwapo kuwapo kwao kutasaidia kuwaondoa CCM madarakani, lakini kama kuja kwao ni kujaribu kuwavuruga CHADEMA kwa manufaa ya CCM hawatafanikiwa.Dk. Kitila Mkumbo amejitambulisha rasmi kuwa ni mwanachama wa ACT kupitia Clouds fm leo asubuhi amesema atamshauri Zitto aje kugombea uwenyekiti.
==============
JamiiForums imefanikiwa kumtafuta Dr. Kilila Mkumbo kuthibitisha habari hii. Amekiri kuongena na Clouds FM na kwamba yeye ni Mwanachama wa Alliance for Change and Transparency (ACT).
Maskini weee kwa hiyo demokrasia ya Kitila ni ya kutaka mtu amtakaye awe mwenyekiti mwenyekiti wa muda LImbu Malaya wa kisiasa ADC amemuachia nani tangu CCM,UDP,TLP,CUF a mwisho ACT LImbu anasema ana demokrasia ipi
Bakorakamo hiyo list umeiona lumumba.?
yule TAPELI WA KARIAKOO sijui atafanya kazi gani aisee ?
Mimi ntajiunga
Mwajiri wa Kitila Mkumbo anasemaje juu ya hili?
Sheria haimruhusu kabisa Kittlya kuwa mwanasiasa na wakat anatumikia umma kama mwalim, lakin kwakuwa wao waliomtuma ndio serikar utasikia hili!!
Adc act sijui ccm jumlisha na vyama vingine unavyovijua ukiwaunganisha bado mziki wa cdm hawauwezi
Lakini Zitto kwa maneno yake alisema atakuwa wa mwisho kuondoka CHADEMA.
Nendeni wanafiki na mamiluki wote.ukomboz hauletwi na wasakatonge