Dk. Kitila Mkumbo ajitambulisha rasmi ACT

Dk. Kitila Mkumbo ajitambulisha rasmi ACT

My Tanzania, My Tanganyika, My people! I feel very sorry for you!
 
act ipo kwajili ya kudhofisha upinzani wanafadhaliwa na tiss na ccm.juzi walikuwa hapa wanashawishi vijana wajiunge na act unapewa 2000 nakadi unapewa.chakushangaza wanachosema hakina mshko ni kuponda cdm eti chama cha wakristo kweli inasikitisha
 
Akiongea leo asubuhi kupitia clouds fm juu ya kujiunga pamaoja na vya pinzani maarufa kwa jina maarufu UKAWA ,amesema wapo tayari kujiunga,wanachokifanya sasa ni kuangalia mipango ya UKAWA tu ,ila wao wako tayari na muungano wa vyama pinzani .
 
Kutengeneza combination ya Mbowe & Slaa (katika mazingira ya chama (CCM) kushika hatamu) inaweza kugharimu miaka mingine 20......
Mpora wake za watu na mtembea na mahawara,wabunge wa viti maalumu
 
Kama akisemacho ndicho anachokifikiri basi ni vyema na haki.Chama cha upinzani kinatakiwa kiwe against chama tawala na si kwa wapinzani.Hongereni kwa kufikiri hivyo.
 
Alipokimbilia,hakuna maslahi,hakuna mvuto...polepole anajipoteza mwenyewe.

Ngumu kuamini Zitto anaweza kufanya makosa hayo.

Siasa yahitaji maarifa,ndiyo maana zamani tulikuwa na somo la siasa...limeondolewa,waliovamia wanabaki kung'aang'aa na kutangatanga kila siku...aibu tu.
 
Tulitarajia hili na hii ni mbinu ya watawala kudhoofisha upinzani...
 
Alipokimbilia,hakuna maslahi,hakuna mvuto...polepole anajipoteza mwenyewe.

Ngumu kuamini Zitto anaweza kufanya makosa hayo.

Siasa yahitaji maarifa,ndiyo maana zamani tulikuwa na somo la siasa...limeondolewa,waliovamia wanabaki kung'aang'aa na kutangatanga kila siku...aibu tu.

mjomba wanafadhiliwa hao !
 
Kama UKAWA kweli wamejiunga basi for the Case of a Common Cause na hawa ACT wajiunge na UKAWA
 
unaweza kuwa elimu lakini ukawa BURE KABISA ! Huko nako wakinunuliwa wataenda wapi ?
 
Back
Top Bottom