Dk. Kitila Mkumbo ajitambulisha rasmi ACT

Dk. Kitila Mkumbo ajitambulisha rasmi ACT

msaliti mkubwa wewe na zitto hamtuambii kitu,tamaa ya madaraka ndio imewaponza nyie,jimbo la mchemba lilikuwa halali yako kabisalakini ulishindwa kuvumilia ukiwa chadema sasa imekula kwako
 
msaliti mkubwa wewe na zitto hamtuambii kitu,tamaa ya madaraka ndio imewaponza nyie,jimbo la mchemba lilikuwa halali yako kabisalakini ulishindwa kuvumilia ukiwa chadema sasa imekula kwako

umeandika utumbo mtupu. wazazi wako wana hasara sana
 
Dk. Kitila Mkumbo amejitambulisha rasmi kuwa ni mwanachama wa ACT kupitia Clouds fm leo asubuhi amesema atamshauri Zitto aje kugombea uwenyekiti.

==============

JamiiForums imefanikiwa kumtafuta Dr. Kilila Mkumbo kuthibitisha habari hii. Amekiri kuongena na Clouds FM na kwamba yeye ni Mwanachama wa Alliance for Change and Transparency (ACT).
[/QUOT


Kwenye biblia kuna story ambayo Bwana Yesu alimuuliza mwanamke mmoja nenda kamwite mumeo. Yule mwanamke akamjibu kuwa sina mume. Yesu akamjibu kuwa umejibu vyema kuwa huna mume kwa maana hata huyu uliye naye ni wa sita na si wako.

Swali kama hilo ukimuuliza Kitila Mkumbo kuwa wewe ni wa chama gani atakujibu kuwa sina chama na ndiyo maana badala ya yeye kugombea uongozi anasema atamshauri mwenzake maana anajua yeye yuko pale tu kwa kazi maalum na ikiisha ataondoka.

Kuanzia mwaka 1995 mpaka leo Kitila Mkumbo kahama vyama kama ifuatavyo; Alitoka CCM akaenda NCCR, halafu kaingia TLP halafu karudi CCM halafu CHADEMAna sasa ACT. Vyama sita kwa muda wa miaka 18! Ni yeye ana matatizo au ni wenzake kwenye vyama wana matatizo?
 
Chadema walikurupuka bila kupima upepo. Sasa kuna wabunge 24 wa chadema wanaomuunga mkono Zitto watafuata nyayo ikiwa jamaa ataondoka CDM.
Kwani Zitto bado tu yuko Chadema?

Basi atakuwa mtu wa ajabu sana yeye ni mlezi wa ACT wakati huo huo amefungua kesi mahakamani kupinga kufukuzwa Chadema.
 
Watuwengine sijui vipi ninamashaka Na akili zako. Kwani chama cha siasa ni waasi Hadi wapigwe mabomu. Siasa za kupigana mabomu Na vurugu hazina nafasi Na wala sio kigezo kwamba wewe ni mpinzani. Na ndio sababu ilisababisha chadema kuchokwa Na wananchi. Hivi mnafikiria hao mnao watoa kafara hawana familia siasa gani hizo za kip*mbav* hazina nafasi sasa hivi Tanzania tunataka vyama vinavyo jenga hoja Na sio vyama vinavyoandaa vurugu Na mauwaji. Ighondo yupo Na atafanya kazi yake Kwa wapuu** kama nyie mnaopenda vurugu

Eti unasema Ighondo yupo na atafanya kazi yake.Mwambie Ighonde wako Binadamu wote niwa MUNGU na kwa kadiri awatendeavyo watu ndivyo nae atakavyotendewa,Kifo anachomuua mtu ndicho atakachokufa,Hatalikwepa ili NENO LA MUNGU ATA AGEUKE MALAIKA LEO.
 
CDM watatutoa resi ila tungeweza kuingia hapo ndani ya UKAWA ingekuwa safi lkn tuko tumejipanga tuna watu wengi kuna kitu tutapenyeza pale ili tuwavuruge TU.
ACT-Tanzani karibuni wote. Msiache kututembelea na kule New Zealand makao makuu

haa ha ha...mbona unaiogopa sana ACT?mbonamshawasha?duh...ndio maana sipendi kuviingiza vyama vya wanadamu moyoni...ona sasa watu pressure zinawapanda...!!
 
Kuanzia mwaka 1995 mpaka leo Kitila Mkumbo kahama vyama kama ifuatavyo; Alitoka CCM akaenda NCCR, halafu kaingia TLP halafu karudi CCM halafu CHADEMAna sasa ACT. Vyama sita kwa muda wa miaka 18! Ni yeye ana matatizo au ni wenzake kwenye vyama wana matatizo?

Mkuu usiende huko maana ukienda huko utawatukana makamanda wetu wengi sana kuanzia Tundu Lissu, Dr Slaa, Lema n.k,hilo kwa siasa za Africa achana nalo.
 
Back
Top Bottom