Hapo ndipo wanapotudanganya.....
Zito ajiunge vipi wakati yeye ndie muhasisi wa ACT?
Na ukiongea offline na yeye mwenyewe anakili hilo, na hata kitila nae anakili hilo mkikutana, hawa jamaa wanamfichaficha kuna kitu wakiogopa
Zitto ni mwanachama wetu ktk chama makini cha ACT muda mrefu hata kabla chama hakijasajiliwa, Zitto tupo nae sana ktk huu mkakati wa kuihujumu Chadema.
ACT-Tanzania ni chama makini
Last edited by a moderator: