limbu ni msomi
Labda kama alisomea Chumbani kwa dada yako...
limbu ni msomi
Dk. Kitila Mkumbo amejitambulisha rasmi kuwa ni mwanachama wa ACT kupitia Clouds fm leo asubuhi amesema atamshauri Zitto aje kugombea uwenyekiti.
Dr. Kilila Mkumbo kuthibitisha habari hii. Amekiri kuongena na Clouds FM na kwamba yeye ni Mwanachama wa Alliance for Change and Transparency (ACT).
Toka fununu zianze kuenea kuwa kuna ujio wa chama kipya.
Toka dr.kitila aandike makala zake kwenye gazeti la raia mwema, kuwa kuna haja ya kuanzisha chama kipya kitakachokua mbadala wa ccm na chadema'..... hii kitu imewauma wengi sana hasa chadema na sijui kwanini?
Watu mmewafukuza wenyewe, hata wanapotaka kuanzisha njia zao za kutimiza ndoto zao bado mnaonekana kuwapiga vita.
Mnataka wasifanye shughuli yoyote ya siasa na ndo roho zenu zitasuuzika?
Acheni ukafiki na wivu za kike na wala hazitowasaidia wala kuwazuia kitila,zito mwigamba na wengi wao waliopo kwenye foleni muda si mrefu ujao kuendelea na harakati zao za kimaisha na kisiasa.
KUMBUKENI MAISHA NI VITA.
NI WAJIBU WA KILA MTU KUIPIGANA VITA YA MAISHA NA KUISHINDA. MANENO YENU HAYATOSAIDIA KITU.
Pandikizi zumeishaingia huko watajuta na wao jinsi watakavyosaritiwa nao wasikie machungu.
Labda kama alisomea Chumbani kwa dada yako...
Huyu Kiltila inakuwaje akaendelea kuwa mtumishi wa umma huku akishikilia nyazifa za juu katika vyama vya siasa na Serikali inatazama tu! Hapa LAZIMA kuna mbinu chafu za serikali zinazoenedelea.
huu mtindo wa kuanzisha vyama mwaka mmoja kabla ya uchaguzi, hautawasaidia, tuliona hayo kwa CCJ/CCK, ADC na sasa ACT, sionakama wana nia saf zaidia kusaa ulaji, na kuwakandmia waTZ chini ya kongwe la CCM
Dk. Kitila Mkumbo amejitambulisha rasmi kuwa ni mwanachama wa ACT kupitia Clouds fm leo asubuhi amesema atamshauri Zitto aje kugombea uwenyekiti.
==============
JamiiForums imefanikiwa kumtafuta Dr. Kilila Mkumbo kuthibitisha habari hii. Amekiri kuongena na Clouds FM na kwamba yeye ni Mwanachama wa Alliance for Change and Transparency (ACT).
usihukumu subiri majibu:israel:Mpaka hapo nani anakataa kuwa hawa jamaa walikuwa na njama za kuteka uongozi wa juu wa cdm kwa kazi maalumu?
Mungu anaweza kumficha mnafiki kwa mda fulani na kwa reason fulani ila siko moja akamwanika hadharani.........Let just wish em mafanikio mema in ACT
Huyu Kiltila inakuwaje akaendelea kuwa mtumishi wa umma huku akishikilia nyazifa za juu katika vyama vya siasa na Serikali inatazama tu! Hapa LAZIMA kuna mbinu chafu za serikali zinazoenedelea.
Amesema atamshauri zitto kuja kugombea uenyekiti, What a drama! Zaidi ya sanaa za maonesho!
[ni vizuri kujiunga ila bila kutengeneza katiba kwanza mtaishia kunawa mikono.