Dk. Joyce Ndalichako atosha wizara ya elimu

Dk. Joyce Ndalichako atosha wizara ya elimu

Wwe ndiye Boko Haramu?

Mwenziyo huyu anataka awe waziri wa mambo ya nje!.
ArabInbreeding1.jpg

Uwezo Wako ki-hoja umeishia hapo?
 
Kama JPM kamrudisha Mhongo basi ampe DR.Ndalichako..hope atafanya vizuri
 
Ndalichako alikataa upuuzi waa kutanua magoli ili wanafunzi wafaulu wengi

Huyu mama atarudisha hadhi ya elimu yetu inayopotea siku hadi siku
 
Mkuu umesomea Tanzania au wapi? Haya masomo ukipata A yanahesabiwa kama umefaulu hata kama core subjects umefeli na chuo unakwenda.

Hivi nyie mtakuwa majuha mpaka lini ndugu zangu!
Fanya hesabu ndogo tu:
Combination: HGL
HISTORY - F
GEOGRAPHY - F
E.LANGUAGE - F
ISLAMIC KNOW- A
Unaenda chuo cha nani hapo, au MUM university, mbona mnataka kudanganyana hapa. Ndivyo mnavyodanganyana madrassa?
 
Cheki hilo ---- nalo. Limetokea wapi? Ulikuwa shimoni eroo? Weka liziwani basi
 
Hivi nyie mtakuwa majuha mpaka lini ndugu zangu!
Fanya hesabu ndogo tu:
Combination: HGL
HISTORY - F
GEOGRAPHY - F
E.LANGUAGE - F
ISLAMIC KNOW- A
Unaenda chuo cha nani hapo, au MUM university, mbona mnataka kudanganyana hapa. Ndivyo mnavyodanganyana madrassa?
Safi sana umekuja kwenye point ya msingi. Hapo kwenye Islamic knowledge weka bible knowledge au divinity.hicho ndio kichochoro wanywa divai mlichokuwa mnakitumia.shenzi sana nyie
 
Kuna yale masomo yanayoitwa bible knowledge na divinity hawa wagalatia walikuwa wanapitishwa tu.waislam ni marufuku kufanya mitihani ya Islamic knowledge.mama alikuwa na roho mbaya sana huyu.

Ooooh yalikuwa ni masomo ya kidini kumbe? Sawa nimeelewa sasa nlidhani ni masomo yote
 
Ushauri kwa mh Rais Dk JPM. Huyu mama anafaa kabisa nafasi hiyo uliyoiacha kiporo na kutafuta mtu wa uhakika.

Huyu mama ni mama wa shoka kwa kasi yako hiyo ya hapa kazi tu yeye ndiye mtu sahihi kabisa. Naomba uliangalie hili kabla ya kuanua matanga ya mazishi ya elimu.

Nawasilisha kwako Mhe JPM.
Ili akaendeleze ule mtindo wa kuweka formula ktk program ili ziwafelishe waislam siyo?
 
Ndalichako anafaa jaman,mimi kanifundisha na nimefanya naye kazi,ila ana misimamo ya kitaaluma,hataki siasa yule.Anafaa kabisa kwenye Elimu
 
Mkuu umesomea Tanzania au wapi? Haya masomo ukipata A yanahesabiwa kama umefaulu hata kama core subjects umefeli na chuo unakwenda.

Sasa ufaulu somo la dini huku umefeli masomo muhimu unaenda chuoni kufanya nini?
 
Dr Jabiri Kuwe Bakari wa eGA atosha kwa waziri wa uchukuzi na mawasiliano
 
Dr. Ndalichako could be the true answer kwa elimu yetu, JPM mwangalie madam huyu
 
Kwa nini Wakirsto wote wanataka huyu binti awe waziri najiuliza nakosa jibu jamaa yangu mmoja kaniambia kuwa huyu ndiyo alikuwa engine ya shule za seminars na wagalatia wengine akiwauzia mitihani ya taifa kwa wamiliki wa hizo shule...daah!
vipi ufaulu wa seminary na ule wa madrasa after ndalichako upoje?
 
Ukiwa na ushahidi credible ulete hapa. Madai kama haya yanatumiwa vibaya na viongozi dhaifu. JPM hawezi kuyatilia maanani madai kama haya ndo maana Muhongo karudi kwenye wizara yake!

Ushahidi upo umesahau aliomba radhi kwa kuwafelisha waislam somo la maarifa ya Islam?
 
Haya basi sawa, huyu mama toka aondoke nitajie shule moja ya kiislamu ambayo imeingia hata ishirini bora mitihani ya Form four au six. Alafu nitajie kumi bora ya matokeo ya kidato cha sita yaliyopita. Shame on you. Someni acheni kulalamika, na kushinda kwenye viambaza vya misikiti.
Feza boys na feza girls unazani ni za kigalatia zile?
 
Back
Top Bottom