Dk. Joyce Ndalichako atosha wizara ya elimu

Dk. Joyce Ndalichako atosha wizara ya elimu

Ndalichako ni mtaalamu lakini ni mbaguzi wa kidini sana.

kwa muda mfupi wa kuwa pale baraza la mihitani alilifanya baraza kuwa machinjio ya waislaam.

Kiongozi mdini kwa kiwango cha ndakichako hafai kufanya kazi serikalini anaweza kusaidia kuinua elimu kwenye vyuo vya kanisa katoliki
 
Naunga mkono hoja..

Serikali ya Mkwerre iliongozwa na majungu ndio maana jembe kama huyu kawekwa pembeni...

Ni wakati wa kuyakusanya "majiwe" yote yaliyokataliwa na waashi..........

Hata yale yaliyokataliwa na nekta(div/GPA)nayo yalifaa kujengea!
 
Ndalichako ni mtaalamu lakini ni mbaguzi wa kidini sana.

kwa muda mfupi wa kuwa pale baraza la mihitani alilifanya baraza kuwa machinjio ya waislaam.

Kiongozi mdini kwa kiwango cha ndakichako hafai kufanya kazi serikalini anaweza kusaidia kuinua elimu kwenye vyuo vya kanisa katoliki
 
hahahahaha huyu Mama atasaidia sana kuwafelisha watoto wa waislam .... CCM Oyee
Ushauri kwa mh Rais Dk JPM. Huyu mama anafaa kabisa nafasi hiyo uliyoiacha kiporo na kutafuta mtu wa uhakika.

Huyu mama ni mama wa shoka kwa kasi yako hiyo ya hapa kazi tu yeye ndiye mtu sahihi kabisa. Naomba uliangalie hili kabla ya kuanua matanga ya mazishi ya elimu.

Nawasilisha kwako Mhe JPM.
 
Tuseme nini? Waziri wa ELIMU anatakiwa awe mbunifu wa FALSAFA za kielimu kwa vitendo(creative,curiosity,character,charity,communication,charisma,convince,common sense),ayajue mahitaji ya Taifa ya jumla na mahsusi.
 
Boko haramu wanaogopa kusoma lakini wanalazimisha madaraka. Wakaona bora taifa zima liwe la majuha kama wao ili kusiwe na kigezo cha elimu kwenye utawala. Huwezi kutegemea elimu sahihi na uongozi bora chini ya boko haramu. So mmeona??

Wewe umeishia langapi mkuu?
 
Swali hili jiulize wewe mpinga maendeleo wa nchi kwanza, hoja hiyo ya udini si ndiyo unaitumia kumkataa Ndalichako!?

Hatumtaki bana huyu mama mdini sana mbona unalazimisha?
 
Hoja ya kipumbavu kama mtoaji. Nani anaogopa kusoma?
Ujinga Wako Ni kutamani zile Enzi za kufaulu kwa kiegezo cha dini zirudi,imbecile


Wwe ndiye Boko Haramu?

Mwenziyo huyu anataka awe waziri wa mambo ya nje!.
ArabInbreeding1.jpg
 
Brother tusameheane, ila tukiacha udini pembeni huyu mama ni mpiganaji kweli kweli!!

Mkuu upiganaji wake uko wapi kama mtu anaonesha upendeleo kwa dini nyingine. Think wise brother
 
Ndalichako ni mtaalamu lakini ni mbaguzi wa kidini sana.

kwa muda mfupi wa kuwa pale baraza la mihitani alilifanya baraza kuwa machinjio ya waislaam.

Kiongozi mdini kwa kiwango cha ndakichako hafai kufanya kazi serikalini anaweza kusaidia kuinua elimu kwenye vyuo vya kanisa katoliki

Toka aondoke Ndalichako vipi shule za kiislamu zinafanyaje kimatokeo? Mbona hamjibu hilo!?
Asante Mungu kwa kuniumba mkristo. Jamani!!!!!
 
Wewe umeishia langapi mkuu?

Unaona jinsi ulivyo mwehu, wenzio siku hizi wanaulizana vipi una degree ngapi? Wewe bado unazungumzia langapi!!!?
Someni jamani acheni kudanganywa na kina kipoz...eo.
 
Hii hoja naisikia sana naomba kujuzwa wadau upendeleo wake ni kwa shule za dini ama hata wanaotoka Government schools? Vipi performance kabla ya yy kuwepo wakati akiwepo na wakati ameondoka? Ufaulu shule za dini inayoonewa ukoje?

Kuna yale masomo yanayoitwa bible knowledge na divinity hawa wagalatia walikuwa wanapitishwa tu.waislam ni marufuku kufanya mitihani ya Islamic knowledge.mama alikuwa na roho mbaya sana huyu.
 
Kuna yale masomo yanayoitwa bible knowledge na divinity hawa wagalatia walikuwa wanapitishwa tu.waislam ni marufuku kufanya mitihani ya Islamic knowledge.mama alikuwa na roho mbaya sana huyu.

Kwa hiyo Ndalichako ndiyo alikataza kufanya mitihani hiyo!? Alafu ndiyo unajiita muislamu, muongo wa kutupwa
 
Kuna yale masomo yanayoitwa bible knowledge na divinity hawa wagalatia walikuwa wanapitishwa tu.waislam ni marufuku kufanya mitihani ya Islamic knowledge.mama alikuwa na roho mbaya sana huyu.

Dah kama kigezo ndio hiking,safari yeti bado ni ndefu..Hayo masomo ufaulu au ufeli sijawahi kuona impact yake kwenye elimu dunia..!Kwanini tusiweke nguvu kwenye yaliyobaki kama hilo moja ndio tatizo?maana hata combination hayana Labda kwa wanaohitaji shughuli za kidini.
 
Unaona jinsi ulivyo mwehu, wenzio siku hizi wanaulizana vipi una degree ngapi? Wewe bado unazungumzia langapi!!!?
Someni jamani acheni kudanganywa na kina kipoz...eo.

Teh teh mkuu inavyoonesha wewe shule hukwenda.samahani lakini
 
Dah kama kigezo ndio hiking,safari yeti bado ni ndefu..Hayo masomo ufaulu au ufeli sijawahi kuona impact yake kwenye elimu dunia..!Kwanini tusiweke nguvu kwenye yaliyobaki kama hilo moja ndio tatizo?maana hata combination hayana Labda kwa wanaohitaji shughuli za kidini.

Mkuu umesomea Tanzania au wapi? Haya masomo ukipata A yanahesabiwa kama umefaulu hata kama core subjects umefeli na chuo unakwenda.
 
Back
Top Bottom