Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 42,809
- 50,937
Nsjisikia aibu kwa hiki alichoandika muislamu mwenzangu hapa.
mzuri wa sura?..kanywe nae chai
Hafai kashindwa kuliongoza baraza la mitihani ataweza Wizara au amewatuma mmpigie debe?
Naunga mkono hoja..
Serikali ya Mkwerre iliongozwa na majungu ndio maana jembe kama huyu kawekwa pembeni...
Ni wakati wa kuyakusanya "majiwe" yote yaliyokataliwa na waashi..........
Wakristo nchi hii ndio wasomi lakini wameshindwa kuikwamua nchi kumbe sababu elimu zenyewe wamepewa na watu style ya bibi ndali
Hafai alitumika sana na wanamtandao wa mgombea uraisi koko mmoja kipndi kile ili kuifanya serikali ya Kikwete ionekane bogus. NECTA nako kuliingiliwa kisiasa ikaanza nayo kutunga mitihani migumu ambayo ni NECTA wenyewe tu ndio wangefaulu ili kufelisha watoto ionekane Kikwete na serikali yake kashindwa kwenye Elimu.
Kazi hii ilifanywa na wanamtandao waliokuwa kila sehemu serikali wakiwemo madaktari wanamtandao mahospitalini ambako walichochea migomo ya madaktari,Kwa walimu wakichochea migomo ya walimu n.k; kama njia ya hujuma kwa serikali wakijiandaa washike nchi.
Mungu Mwema kawakata mtandao.Ndalichako hawezi kurudi Necta.Hivi kwa nini asiende kuwa waziri wa elimu RWANDA? au akaanzishe shule binafsi Monduli au Siha kwa Mbowe?
Uwaziri siyo mbege kila mtu anaweza kupewa.
mods mnalala sana huu upuuuzi si muunganishe na ule mwingine,mana leo wagalatia wameamka kumpigia debe mama mchungaji,au na nyie mnaunga mkono?
Walio na vyeti fek wanamuogapa ajabu.
Mkuu umesomea Tanzania au wapi? Haya masomo ukipata A yanahesabiwa kama umefaulu hata kama core subjects umefeli na chuo unakwenda.