Dk. Joyce Ndalichako atosha wizara ya elimu

Dk. Joyce Ndalichako atosha wizara ya elimu

Aende akaongoze vigango vya kanisa. huyu mama hafai kashafelisha watu wengi kisa dini. Kama mnampenda mpiganieni naye aitwe mwenyeheri au mtakatifu kwa kazi alizozifannyia kanisa.

Ur brain is full of mucous and sputum .
 
Ushauri kwa mh Rais Dk JPM. Huyu mama anafaa kabisa nafasi hiyo uliyoiacha kiporo na kutafuta mtu wa uhakika.

Huyu mama ni mama wa shoka kwa kasi yako hiyo ya hapa kazi tu yeye ndiye mtu sahihi kabisa. Naomba uliangalie hili kabla ya kuanua matanga ya mazishi ya elimu.

Nawasilisha kwako Mhe JPM.

Kwa wewe mleta hoja na wengine lipo tatizo la wasomi wa kitanzania kudhani kuwa vyeti vyao ndo utumishi wao, hapana. Wanapaswa waende kwa wananchi ili wakawahoji kama kweli wanadhamira ya kuwaletea maendeleo watanzania. Mfano wa kuigwa ni wa prof.muhongo, prof.tibaijuka, dr.mahiga hawa wameonyesha dhamira ya kuwatumikia watanzania na wameomba ridhaa zao.

Leo huyo ndalichako hapo makongo juu anapoishi hata majirani hawamjui, sio hata mjumbe wa kata wa chama tutampaje wajibu wa kuwatumikia watanzania kwa kigezo kipi kitumike. hebu niambie alichukua form ya ubunge japo kura za maoni hazikutosha kama dr.mahiga? hapana. ajira aliyonayo hapo UDSM inamtosha labda awe head of faculty.
 
Boko haramu wanaogopa kusoma lakini wanalazimisha madaraka. Wakaona bora taifa zima liwe la majuha kama wao ili kusiwe na kigezo cha elimu kwenye utawala. Huwezi kutegemea elimu sahihi na uongozi bora chini ya boko haramu. So mmeona??

Hoja ya kipumbavu kama mtoaji. Nani anaogopa kusoma?
Ujinga Wako Ni kutamani zile Enzi za kufaulu kwa kiegezo cha dini zirudi,imbecile
 
Kwa wewe mleta hoja na wengine lipo tatizo la wasomi wa kitanzania kudhani kuwa vyeti vyao ndo utumishi wao, hapana. Wanapaswa waende kwa wananchi ili wakawahoji kama kweli wanadhamira ya kuwaletea maendeleo watanzania. Mfano wa kuigwa ni wa prof.muhongo, prof.tibaijuka, dr.mahiga hawa wameonyesha dhamira ya kuwatumikia watanzania na wameomba ridhaa zao.

Leo huyo ndalichako hapo makongo juu anapoishi hata majirani hawamjui, sio hata mjumbe wa kata wa chama tutampaje wajibu wa kuwatumikia watanzania kwa kigezo kipi kitumike. hebu niambie alichukua form ya ubunge japo kura za maoni hazikutosha kama dr.mahiga? hapana. ajira aliyonayo hapo UDSM inamtosha labda awe head of faculty.

Mkuu Eddy, ajira hizi za uwaziri (kule Merikani zinaitwa Secretary of State) ni rutuba kwa manufaa na maendeleo ya nchi, hivyo sifa ya kuwa waziri nadhani haifanani kabisa na kuchukua fomu ya kuchaguliwa na wananchi maana sifa ya fomu ni kujua kusoma na kuandika.
 
Naunga mkono hoja, ni moja ya watu makini na watendaji wasioyumbishwa na siasa. Pamoja na Tido Mhando
 
mdini Sana wewe
Kwa nini Wakirsto wote wanataka huyu binti awe waziri najiuliza nakosa jibu jamaa yangu mmoja kaniambia kuwa huyu ndiyo alikuwa engine ya shule za seminars na wagalatia wengine akiwauzia mitihani ya taifa kwa wamiliki wa hizo shule...daah!
 
Naunga mkono hoja, ni moja ya watu makini na watendaji wasioyumbishwa na siasa. Pamoja na Tido Mhando

Ni kweli labda tuwape kwanza ukatibu mkuu chadema
 
Hoja ya kipumbavu kama mtoaji. Nani anaogopa kusoma?
Ujinga Wako Ni kutamani zile Enzi za kufaulu kwa kiegezo cha dini zirudi,imbecile

Mnaogopa kusoma wajinga nyie. Mnaleta hoja za kise katika ukweli. Nyinyi na rais wenu aliyetangulia wote mlikuwa wadini
 
kwa kufuata mkumbo nasema achaguliwe kuwa waziri.
Akiwa baraza alisaidia kukamatwa kwa zombie lililochorwa Kwenye booklet ya kujibia maswali
Kazi ya nyumbu ni kufuata mkumbo.
 
Mkuu Eddy, ajira hizi za uwaziri (kule Merikani zinaitwa Secretary of State) ni rutuba kwa manufaa na maendeleo ya nchi, hivyo sifa ya kuwa waziri nadhani haifanani kabisa na kuchukua fomu ya kuchaguliwa na wananchi maana sifa ya fomu ni kujua kusoma na kuandika.

Merakni ni federal state, sisi ni union state ni mazingira tofauti ya kisiasa. Pia vipa umbele vya marekani ni tofauti na Tanzania marekani walishajenga barabara swala la maji sio issue na umeme sio hoja hivyo mazingira ya kisiasa ya Tanzania ni tofauti sana na marekani. Kwahiyo huwezi linganisha siasa za Tanzania na marekani.
 
Mnaogopa kusoma wajinga nyie. Mnaleta hoja za kise katika ukweli. Nyinyi na rais wenu aliyetangulia wote mlikuwa wadini
Ahahahaha Tanzania kuna vituko hivi na wewe ni msomi.

Hivi udini nini??
 
Ushauri kwa mh Rais Dk JPM. Huyu mama anafaa kabisa nafasi hiyo uliyoiacha kiporo na kutafuta mtu wa uhakika.

Huyu mama ni mama wa shoka kwa kasi yako hiyo ya hapa kazi tu yeye ndiye mtu sahihi kabisa. Naomba uliangalie hili kabla ya kuanua matanga ya mazishi ya elimu.

Nawasilisha kwako Mhe JPM.

Naona UKAWA mmeshupalia sana !!!!!! Tunajua kila kitu na yeye anajua kila kila kitu.
 
Ahahahaha Tanzania kuna vituko hivi na wewe ni msomi.

Hivi udini nini??

Swali hili jiulize wewe mpinga maendeleo wa nchi kwanza, hoja hiyo ya udini si ndiyo unaitumia kumkataa Ndalichako!?
 
UKAWA hawamkubali Dr.Magufuli lakini wanampangia mawaziri wa kuchagua.

Teh teh teh.
 
Kwa nini Wakirsto wote wanataka huyu binti awe waziri najiuliza nakosa jibu jamaa yangu mmoja kaniambia kuwa huyu ndiyo alikuwa engine ya shule za seminars na wagalatia wengine akiwauzia mitihani ya taifa kwa wamiliki wa hizo shule...daah!

Wapuuzi wachache kama hawa ndiyo wanatuchelewesha kwa kukumbatia hoja za kise namna hii.
 
Back
Top Bottom