DK. Bilali Chaguo la JK Kumrithi 2015?

DK. Bilali Chaguo la JK Kumrithi 2015?



Superman,

..wakati wake pale Sayansi na Teknolojia rushwa,udini,na ngono, vilitamalaki.

..pia aliunda genge lake la waZNZ kuminya nafasi za scholarship kwa wa-Tanganyika.

..I hope amebadilika, lakini huyu akipewa nafasi ya Uraisi na akaongoza kwa mentality aliyokuwa nayo pale Sayansi na Teknolojia, basi msije mkashangaa nchi ikisambaratika.

Nafikiri kuna mtu anaitwa MWAKALINGA alikuwa Poland miaka ya 80, anamjua vizuri saana na aliwahi kumchambua vizuri mno, huyu Bilal ni janga la Taifa akichukua, kwani hata Zenji si kweli ana kundi kubwa linalomuunga mkono
 


Superman,

..wakati wake pale Sayansi na Teknolojia rushwa,udini,na ngono, vilitamalaki.

..pia aliunda genge lake la waZNZ kuminya nafasi za scholarship kwa wa-Tanganyika.

..I hope amebadilika, lakini huyu akipewa nafasi ya Uraisi na akaongoza kwa mentality aliyokuwa nayo pale Sayansi na Teknolojia, basi msije mkashangaa nchi ikisambaratika.

JK

Acha uwongo bana udini wa Bilal ni upi? sema alikuwa muislam, eti ngono na rushwa..aisee wewe kweli una chuki aisee

Bilal hajawahi kuminya scholarship kwa mtanganyika yeyote, maana hicho kitengo kinaongozwa na mkatoliki tangu uhuru hadi leo, hata scholarship za middle east wanaenda wakristo...acheni chuki zen bandugu..
 
Kakalende,

..Mr.Clean alipata kwasababu ya ukaribu wake na Nyerere.

..Mr.Clean hakuchanguliwa kutokana na performance yake pale Sayansi na Teknolojia.

..pia naweza kwenda mbali na kusema kwamba wana CCM wa waliokuwa wakimpigia kampeni Mr.Clean walikuwa wamechoshwa na utendaji wa Mzee Mwinyi na upendeleo wake wa waziwazi kwa Wazanzibari.

Aisee very different thinking kwasababu huyu ni benjamini kwanini hukusema kuhusu ngono, rushwa etc kama kwa bilal kwasababu naye alikuwa waziri hapo??? aisee...

Another unfair allegations kwa mzee eti aliwapendelea wazanzibar oops muogope Mungu ...lol

JK kuna matatizo makubwa kwenye arguments zako hasa ukiongolea wenye dini yako na wenye dini zingine ..pole sana..
 
JK

Acha uwongo bana udini wa Bilal ni upi? sema alikuwa muislam, eti ngono na rushwa..aisee wewe kweli una chuki aisee

Bilal hajawahi kuminya scholarship kwa mtanganyika yeyote, maana hicho kitengo kinaongozwa na mkatoliki tangu uhuru hadi leo, hata scholarship za middle east wanaenda wakristo...acheni chuki zen bandugu..

Topical,

..kulikuwa na scholarship za rushwa,ngono,udini,ukabila, you name, na Bilali ndiyo alikuwa PS na de facto Min wa Sc & Tech.

..kwa mtizamo wangu iundwe serikali ya Tanganyika kabla ya kuwafikiria waZNZ kuongoza serikali ya muungano.
 
Wanajamii;

Kwa wafuatiliaji wa habari bila ya shaka watakua wamegundua kuwa Makamu Wa Rais Mh. Dk Bilali kwa kipindi kirefu sasa amekuwa katika ziara za kikazi mikoani na wilayani na kupewa kipau mbele katika media za Tanzania. Ziara hizi kwa mtazamo wa haraka japokuwa ni za kikazi lakini zimekuwa ni nyingi sana zaidi ya kiongozi mwingine yoyote wa Kisiasa.

Ikumbukwe kuwa Dr. Bilali ni Makamu wa Rais na anafanya zile kazi ambazo Rais amemwagiza au yuko aware nazo.

Yawezekana kabisa kuwa Rais Kikwete ameamua kuchukua uamuzi huo wa kumuandaa na kumtangaza Bilali awe mgombea Urais wa CCM 2015 ili kukinusuru chama chake CCM kutokana na makundi ambayo itake isitake 2015 yatakimega CCM kabisa kwa asilia 100%. Huenda akawa na sababu nyingi lakini chache ni zifuatazo:


  • Safari hii ni zamu ya Wazanzibar kutoa Rais. Kumbuka hii ni hoja rahisi kama walivyoamua kuwa safari hii Spika ni Mwanamke na hivyo kumweka Sita pembeni. K
​
  • Dk. Bilali hana Makundi na amekuwepo katika siasa za Bara na Visiwani na anakubalika (Of course ziara za sasa zimam-promote)
​
  • Dk. Bilali amekuwa Makamu wa Rais na anakubalika kama Presidential Material
​

  • Ili kuzima chokochoko za Wazanzibari kuua Muungano dawa ni kumweka Mzanzibar. JK hawezi kuruhusu Zanzibar iwe Nchi au Dola (Historically na Kikatiba).
​

  • JK hataki aonekane kaivuruga Nchi ndo maana kwa mambo yote makubwa nchi hii kaamua bora tu akae kimya kuliko kusema. La kuhusu katiba ameona bora atofautiane na Chama chake ili kuacha Lergacy na kuleta utengamao katika Nchi.

Ni nini maoni yako binafsi kuhusu Dk. Bilali na harakati zake za kuzunguka mikoani na wilayani in connection na mbio za Urais 2015? Je yawezekana akawa ni Chaguo la JK?

Nawasilisha.

Hapo kwenye red ndo kumenifanya nikubali kuwa wewe ni superman, akili kidogo maguvu zaidi lol!
 
Topical,

..kulikuwa na scholarship za rushwa,ngono,udini,ukabila, you name, na Bilali ndiyo alikuwa PS na de facto Min wa Sc & Tech.

..kwa mtizamo wangu iundwe serikali ya Tanganyika kabla ya kuwafikiria waZNZ kuongoza serikali ya muungano.

Hakuna kitu kama hicho wala huwezi kuthibitisha hilo, na kama ilikuwepo basi ungekuwa muadilifu kuwalaumu Ben na Bilal lakini thubutu??

Kumbe tatizo la bilal ni uzanzibar wake na dini yake wala si perfomance ..nimekupata..pole sana
 
Hakuna kitu kama hicho wala huwezi kuthibitisha hilo, na kama ilikuwepo basi ungekuwa muadilifu kuwalaumu Ben na Bilal lakini thubutu??

Kumbe tatizo la bilal ni uzanzibar wake na dini yake wala si perfomance ..nimekupata..pole sana

Topical,

..Yap, wa-Tanganyika na sisi tuwe na serikali yetu.

..hata sisi pia tuna historia yetu na identity yetu ya Utanganyika.
 
Topical,

..Yap, wa-Tanganyika na sisi tuwe na serikali yetu.

..hata sisi pia tuna historia yetu na identity yetu ya Utanganyika.

Hapo tuko pamoja mkuu, tena makao makuu yawe Dodoma kwetu

Ila kumhusisha bilal na Mwinyi kwenye ubaguzi wa aina yeyote ni level ya juu UDINI -ukristo ..pole sana.
 
Hapo tuko pamoja mkuu, tena makao makuu yawe Dodoma kwetu

Ila kumhusisha bilal na Mwinyi kwenye ubaguzi wa aina yeyote ni level ya juu UDINI -ukristo ..pole sana.

Topical,

..Ur just paranoid.

..Unafikiri kila anapokosolewa Muislamu basi ni kwasababu ya dini yake.

..nimekosoa utendaji wa Bilali, sijakosoa dini yake.
 
Topical,

..thats why I am saying ur paranoid.

Endelea na topic, lakini ukisema Bilal na Mwinyi walifanya upendeleo wa kidini ..nitakwambia wewe ni muongo na MDINI mkubwa..ok. back to the topic.
 
Hiyo point ya tatu: kwamba anakubalika kama presidential material ni very questionable. Anakubalika kwa nani? Nani kafanya utafiti na kuthibitisha kuwa hata kule Ng'wanakitolyo Bilal anakubalika?

Dokta Slaa anakubalika kuliko mgombea yoyote kule Unguja na Pemba, au unabisha?
 
Endelea na topic, lakini ukisema Bilal na Mwinyi walifanya upendeleo wa kidini ..nitakwambia wewe ni muongo na MDINI mkubwa..ok. back to the topic.

Topical,

..unawaza UDINI muda mwingi.

..haya basi turudi kwenye topic.
 
Anaefaa kuwa Rais ni Rais kivuli wa sasa, Dokta Slaa, lakini jee, atachaguliwa?
 
Back
Top Bottom