Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
- Thread starter
- #101
Nafikiri kuna mtu anaitwa MWAKALINGA alikuwa Poland miaka ya 80, anamjua vizuri saana na aliwahi kumchambua vizuri mno, huyu Bilal ni janga la Taifa akichukua, kwani hata Zenji si kweli ana kundi kubwa linalomuunga mkono
Mkuu share nasi unachokijua?
Kama hana kundi kule Zenji, tujuze nguvu zake za kuwa VP alizipataje?