DK. Bilali Chaguo la JK Kumrithi 2015?

DK. Bilali Chaguo la JK Kumrithi 2015?

Atamwongoza nani huyo mzee, hata kuongea hajui, aende akawaongoze wazenji au akatengeneze mabomu ya nyuklia.

Ndo hivyo tena kisha kuwa VP anawaongoza wa TZ na anakata mbuga sasa hivi funika mbaya.
 
mbona jamaa mwenyewe ameshakwisha hivyo.......nikijumlisha 3years naona atakuwa anakimbilia kwenye mkongojo...sidhani kama ataweza hata kufikiri kwa umakini vitu sensitive atakuwa kama shati lililopo sasa hivi, ni kukenua tuuuuuuuuuuu.
 
mbona jamaa mwenyewe ameshakwisha hivyo.......nikijumlisha 3years naona atakuwa anakimbilia kwenye mkongojo...sidhani kama ataweza hata kufikiri kwa umakini vitu sensitive atakuwa kama shati lililopo sasa hivi, ni kukenua tuuuuuuuuuuu.


Dogo Janja katika siasa kila kitu kinawezekana!

Tanzania ni zaidi ya uijuavyo. Angalia mambo yanavyokwenda. Tafakari!
 
mbona jamaa mwenyewe ameshakwisha hivyo.......nikijumlisha 3years naona atakuwa anakimbilia kwenye mkongojo...sidhani kama ataweza hata kufikiri kwa umakini vitu sensitive atakuwa kama shati lililopo sasa hivi, ni kukenua tuuuuuuuuuuu.
Unawakumbuka Wade na Mwai Kibaki? Wade bado anapiga jalamba pamoja na umri wake.
 
Wanajamii;

Kwa wafuatiliaji wa habari bila ya shaka watakua wamegundua kuwa Makamu Wa Rais Mh. Dk Bilali kwa kipindi kirefu sasa amekuwa katika ziara za kikazi mikoani na wilayani na kupewa kipau mbele katika media za Tanzania. Ziara hizi kwa mtazamo wa haraka japokuwa ni za kikazi lakini zimekuwa ni nyingi sana zaidi ya kiongozi mwingine yoyote wa Kisiasa.

Ikumbukwe kuwa Dr. Bilali ni Makamu wa Rais na anafanya zile kazi ambazo Rais amemwagiza au yuko aware nazo.

Yawezekana kabisa kuwa Rais Kikwete ameamua kuchukua uamuzi huo wa kumuandaa na kumtangaza Bilali awe mgombea Urais wa CCM 2015 ili kukinusuru chama chake CCM kutokana na makundi ambayo itake isitake 2015 yatakimega CCM kabisa kwa asilia 100%. Huenda akawa na sababu nyingi lakini chache ni zifuatazo:


  • Safari hii ni zamu ya Wazanzibar kutoa Rais. Kumbuka hii ni hoja rahisi kama walivyoamua kuwa safari hii Spika ni Mwanamke na hivyo kumweka Sita pembeni. K

  • Dk. Bilali hana Makundi na amekuwepo katika siasa za Bara na Visiwani na anakubalika (Of course ziara za sasa zimam-promote)

  • Dk. Bilali amekuwa Makamu wa Rais na anakubalika kama Presidential Material


  • Ili kuzima chokochoko za Wazanzibari kuua Muungano dawa ni kumweka Mzanzibar. JK hawezi kuruhusu Zanzibar iwe Nchi au Dola (Historically na Kikatiba).


  • JK hataki aonekane kaivuruga Nchi ndo maana kwa mambo yote makubwa nchi hii kaamua bora tu akae kimya kuliko kusema. La kuhusu katiba ameona bora atofautiane na Chama chake ili kuacha Lergacy na kuleta utengamao katika Nchi.

Ni nini maoni yako binafsi kuhusu Dk. Bilali na harakati zake za kuzunguka mikoani na wilayani in connection na mbio za Urais 2015? Je yawezekana akawa ni Chaguo la JK?

Nawasilisha.


Huyo mshikaji ni zombi kinyama, ziara zake zote huongozana na wake zake wawili. Nadhani anajifunza ziara bt sidhani kama atamrith jk.
 
usiwe na fikra finyu namna hii angalia uwezo wa mtu usiangalie anakotoka, kwani huyu wa sasa hivi si anatoka kwenye population kubwa ya watu milion 40+ amefanyia taifa nini zaidi ya kuwa baba mlezi wa mafisadi?? Bilal kama hafai( na mimi naamini hivo) mtafutie sababu nyingine za kum disqualify lakini kabila dini au sehemu atokako mtu its not an issue here!!

Tuko radhi tuongozwe na mbumbumbu ali mradi anatoka Tanganyika
 
halafu siku hizi Bilal aka shababy kajifunza kutoa hotuba bila kusoma. Ame ipmrove sana
 
Hiyo point ya tatu: kwamba anakubalika kama presidential material ni very questionable. Anakubalika kwa nani? Nani kafanya utafiti na kuthibitisha kuwa hata kule Ng'wanakitolyo Bilal anakubalika?
Watu wa Ng'wanakitolyo watapewa kanga na kofia wakati ukifika na usisahau wakipewa wali nyama mambo saaaaafiiiiiiiiii!!!!!
 
Huyo mshikaji ni zombi kinyama, ziara zake zote huongozana na wake zake wawili. Nadhani anajifunza ziara bt sidhani kama atamrith jk.

Unaweza kuwa unafahamu ilikuwa akachaguliwa VP?

Halafu Dogo Janja taratibu lugha yako . . . lete hoja tu . . . si kejeli na matusi . . . Umenielewa?

superman_alex_ross2.jpg
 
Nilisikia TBC jana wanasema Makamu wa Rais alikuwa Rukwa huko ziarani akafika mahali barabara zikawa mbovu sana ikabidi wamletee helkopta ya polisi asafiri nayo. kwa kuwa yeye ni kiongozi na wao serikali yao ndio imetufikisha hapa angepaswa kusafiri kwa barabara kama walivyokuwa wamepanga aone shida za watu. Kukwepa na kuagiza helkopta iletwe ni usaliti na sii uongozi bora

Bora mimi sijasema. Ni lazima afike kila kona. That is a Plan B.
 
Nilikuwa nataka nami nimwambie lakini basi. Mbona hoja imekaa vizuri. Mtoa mada umetoa changamoto nzuri tu, mtu badala ya kuchangia anaanza matusi. Hawa watu ndio wanaichafua JF. Kama mtu hana hoja si anyamaze tu. Kuna watu nadhani hawawezi hoja za kufikirisha wakiona tu kuna kugikiria kidogo tu basi anakimbilia matusi!

Hakuna tusi pale mkuu, ukiona hakuna ban jua hapo hakuna matusi. Ok, tuyaache hayo tuendelee na mada. Mi nadhani si kama JK anampa promo Bilal isipokuwa babu anatimiza tu majukumu ya umakamu wa rais. Ana nafasi kubwa nyuma ya rais hata hivyo hafai kuwa rais wa jamhuri. Kama ikiwa ni lazima rais atoke upande wa pili wa nchi. Nadhani Shein anayo nafasi kubwa zaidi kuliko Bilal.
 
Hakuna tusi pale mkuu, ukiona hakuna ban jua hapo hakuna matusi. Ok, tuyaache hayo tuendelee na mada. Mi nadhani si kama JK anampa promo Bilal isipokuwa babu anatimiza tu majukumu ya umakamu wa rais. Ana nafasi kubwa nyuma ya rais hata hivyo hafai kuwa rais wa jamhuri. Kama ikiwa ni lazima rais atoke upande wa pili wa nchi. Nadhani Shein anayo nafasi kubwa zaidi kuliko Bilal.


Mkuu kupewa BAN si kazi ngumu muhusika akiamua. Ni kubonyeza kitufe cha Abuse au kuandikia admin na wao bila kusita watakupa BAN. Au unataka nijaribu kwa ile post yake uone ilivyo? Ili mradi umekuwa mstaarabu kutambua, wacha tuendelee.

Iko hivi Omari Juma hakuwa Mzururaji kama huyu Balali sorry Bilali.

Mohamed Shain hatukumuona.

Niaje huyu Babu anakata mbuga usiku na mchana tena kwa muda mrefu tu amekomaa na sasa kishaanza kukubalika?
 
Hapa ndipo muungano utakapovunjikia naisubiri kwa hamu siku hiyo.
 
Hapa ndipo muungano utakapovunjikia naisubiri kwa hamu sana hiyo siku,na wazanzibar naomba mzidi kukaza kuwa rais wa awamu ya tano,atoke zanzibar kitaeleweka tu.
 
Kwa hali ya kawaida kabisa utagundua kuwa Bilal sio mwanasiasa analazimisha.Na akiwa raisi atapata taabu sana kuongoza,tena namshauri asijaribu kufanya kitu kama hicho,yatamtokea puani.Nadhani yeye akaendelee kutufundishia watoto wetu namna ya kutengeneza nyuklia,maana huyu ni bingwa maeneo hayo.
 
Kwa siasa za maji taka za CCM lolote linawezekana
 
Hakuna tusi pale mkuu, ukiona hakuna ban jua hapo hakuna matusi. Ok, tuyaache hayo tuendelee na mada. Mi nadhani si kama JK anampa promo Bilal isipokuwa babu anatimiza tu majukumu ya umakamu wa rais. Ana nafasi kubwa nyuma ya rais hata hivyo hafai kuwa rais wa jamhuri. Kama ikiwa ni lazima rais atoke upande wa pili wa nchi. Nadhani Shein anayo nafasi kubwa zaidi kuliko Bilal.

Mkuu kwa hali ya siasa ya sasa hivi au tuseme kwamba kura ya urais inapigwa hivi sasa na chama chochote kikasimamisha mgombea wa Urais JMT toka upande wa pili, hakika nakuambia chama ambacho kitakuwa na mgombea toka upande wa bara kitaibuka mshindi! Siasa ya nchi hii kwa sasa imekaa tenge na hasa maneno ya akina Jussa toka upande huo yanatia shaka kuu!
 
Back
Top Bottom