The Mockingjay
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 380
- 121
Mkuu utafute ule uzi hapa JF aliouleta Hutaki Unaacha.
Sidhani kama Bilal na Karume wanapikika though. Rejea jinsi walivyomchakachua Bilal na kumwingiza Shain.
However, kwenye siasa hakuna permanent enemies but interests.