Mchambuzi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2007
- 4,850
- 9,405
Mwandosya wameshammaliza.
Professor Mwandosya alibainika kuwa na "Bone Marrow Cancer" kabla hata ya Dr. Mwakyembe lakini pengine ili kuepuka mifarakano isiyo na ulazima, familia hii imeamua kumwachia mungu kila kitu. Je suala la Mwakyembe na MWandosya ni coincidence? Sipo hapa kuzungumzia afya za watu au taarifa za familia za watu, lakini ipo siku ukweli utakuja kusimama.