Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,715
- 20,472
Wakati wengine wakibeza kitendo cha Simba cha miaka kama mitano ya hivi karibuni kuishia hatua ya robo fainal ya michuano mbalimbali ya Afrika maarufu kama 'mwakarobo' (CL x3, CC x1 na AFL x1), kumbe jambo hilo kwa wachezaji wenyewe wa nchi mbalimbali za Afrika (sio washabiki wa Bongo) wanaliona positive sana na Simba ni kama timu iliyopiga hatua kubwa na inawavutia kuja kuitumikia. Sio maneno yangu, bali ya mchezaji wa Raja CA na sasa Azam FC, Djibril Sylla.