Divine matrix under entangled reality

Haya mambo nikiyasoma huwa nabaki neutral kimtizamo!! sasa nauliza ipi nafasi ya hawa wanaoitwa watu wa iman mf waganga,wahubiri na hawa wanaozungumzia kuhusu nyota za watu na athari zake ktk maisha yetu?
Kama mimi ndiye mtengenezaji wauhalisia wangu kwanini unaweza kufikiria kitu au kukihitaji iwe ni kwa kuomba au kutafuta kwa bidii kwa muda mrefu(vibration) na usifanikiwe?je kuna sheria uliyokiuka mpaka inakulazimu urekebishe kwanza? Kama ndivyo utajuaje kama upo sahihi au haupo sahihi kwenye sheria hizo?
 
Haya mambo nikiyasoma huwa nabaki neutral kimtizamo!! sasa nauliza ipi nafasi ya hawa wanaoitwa watu wa iman mf waganga,wahubiri na hawa wanaozungumzia kuhusu nyota za watu na athari zake ktk maisha yetu?
Kama mimi ndiye mtengenezaji wauhalisia wangu kwanini unaweza kufikiria kitu au kukihitaji iwe ni kwa kuomba au kutafuta kwa bidii kwa muda mrefu(vibration) na usifanikiwe?je kuna sheria uliyokiuka mpaka inakulazimu urekebishe kwanza? Kama ndivyo utajuaje kama upo sahihi au haupo sahihi kwenye sheria hizo?

kuomba sana hata kwa kukesha hakukufanyi ufikie maximum point of transformation success if at all utakuwa hujafikia threshold level ya frequency kubwa katika kuleta mageuzi ya kimaono..

Tunaposema vibration frequency ni nguvu ya kuhisi unafeel presence ya kile kitu unachokihitaji bila kuwa na negative mind ( negation)ya kukipata...reffer laws of nature in correspondence to success utaelewa nazumgumzia nini..

Ndo mana watu hawafanikiwi kwa lolote licha ya kudai kuwa wanasali sana na kumwomba mungu kila kukicha

Ukitaka kuelewa soma vizuri universal laws and how to interact with them...

Wapo watu waliofanikiwa kufikia rank kubwa katika kuview things katika quantum level hence kuweza kubashiri maisha yako ya baadae na hao watu tunawaita wasoma nyota au waganga whatever you can call them but kuna njia ambayo either anaweza akaitumia kusoma life pathy yako kupitia higher frequency pathways ili kusoma lower frequency pathway..au yeye mwenyewe akaweza kuview ramani ya maisha yako kwa sababu anakuwa kasha attain maximum ability ya kuvibrate katika highest point hence kuwa na uwezo wa kuview lower life form .

Kumbuka mtu anaevibrate katika highest frequency anaweza soma ramani ya mfumo mzima wa lower frequency life form ya kiumbe yoyote..

Au unaweza ukasoma life pathway ya kiumbe yeyote kwa msaada ya portal entry system kutoka cosmic energy ambapo atakuwa anasaidiwa na device maalumu katika kukuconnect ili uweze kusoma ramani nzima ya lower form life pathway..

hivyo ndo mana kuna watu wanaweza kukupa kipande cha mti mbichi akakuambia nenda nje ukanene yoyote unayotaka yafanyiewe kazi katika maisha yako halafu rudi hapa nitakwambia umeomba nini na kweli utaenda utatamka maneno yako kisha ukirudi ukampa kile kijiti ulichokitemea mate na atakichanganya na vifaa vyake ambavyo ni portal entry kwenye cosmic energy grid na kujikuta akisoma ulichokisema uko ukiwa alone na utashangaaa jamaaa alijuaje...

So hayo ni either matumizi ya vifaa vinavyoweza kuconnect mind yake na cosmic energy ambayo kimsingi ni higher energy frequency vibration inayoweza kufanya tafsir ya consciounsness yoyote iliyopo katika lower vibration..

So ili ufanikiwe ni lazima uvibrate katika highest point of energy ili kufikia ile level ya mageuzi ya kitu chochote katika physical reality la sivyo utakuww unasali na kulia lakini huwez fanya mageuzi ya kitu chochote..

Tafuta uzi humu unaozungumza juu ya laws of the universe and theri manifestation ndo utaweza elewa kwanini binadamu ni personal spect katika Uumbaji wa kitu chochote..
 
kuomba sana hata kwa kukesha hakukufanyi ufikie maximum point of transformation success if at all utakuwa hujafikia threshold level ya frequency kubwa katika kuleta mageuzi ya kimaono..

Tunaposema vibration frequency ni nguvu ya kuhisi unafeel presence ya kile kitu unachokihitaji bila kuwa na negative mind ( negation)ya kukipata...reffer laws of nature in correspondence to success utaelewa nazumgumzia nini..

Ndo mana watu hawafanikiwi kwa lolote licha ya kudai kuwa wanasali sana na kumwomba mungu kila kukicha

Ukitaka kuelewa soma vizuri universal laws and how to interact with them...

Wapo watu waliofanikiwa kufikia rank kubwa katika kuview things katika quantum level hence kuweza kubashiri maisha yako ya baadae na hao watu tunawaita wasoma nyota au waganga whatever you can call them but kuna njia ambayo either anaweza akaitumia kusoma life pathy yako kupitia higher frequency pathways ili kusoma lower frequency pathway..au yeye mwenyewe akaweza kuview ramani ya maisha yako kwa sababu anakuwa kasha attain maximum ability ya kuvibrate katika highest point hence kuwa na uwezo wa kuview lower life form .

Kumbuka mtu anaevibrate katika highest frequency anaweza soma ramani ya mfumo mzima wa lower frequency life form ya kiumbe yoyote..

Au unaweza ukasoma life pathway ya kiumbe yeyote kwa msaada ya portal entry system kutoka cosmic energy ambapo atakuwa anasaidiwa na device maalumu katika kukuconnect ili uweze kusoma ramani nzima ya lower form life pathway..

hivyo ndo mana kuna watu wanaweza kukupa kipande cha mti mbichi akakuambia nenda nje ukanene yoyote unayotaka yafanyiewe kazi katika maisha yako halafu rudi hapa nitakwambia umeomba nini na kweli utaenda utatamka maneno yako kisha ukirudi ukampa kile kijiti ulichokitemea mate na atakichanganya na vifaa vyake ambavyo ni portal entry kwenye cosmic energy grid na kujikuta akisoma ulichokisema uko ukiwa alone na utashangaaa jamaaa alijuaje...

So hayo ni either matumizi ya vifaa vinavyoweza kuconnect mind yake na cosmic energy ambayo kimsingi ni higher energy frequency vibration inayoweza kufanya tafsir ya consciounsness yoyote iliyopo katika lower vibration..

So ili ufanikiwe ni lazima uvibrate katika highest point of energy ili kufikia ile level ya mageuzi ya kitu chochote katika physical reality la sivyo utakuww unasali na kulia lakini huwez fanya mageuzi ya kitu chochote..

Tafuta uzi humu unaozungumza juu ya laws of the universe and theri manifestation ndo utaweza elewa kwanini binadamu ni personal spect katika Uumbaji wa kitu chochote..
huo uzi ebu tuwekee link yake hapaa
 
Katika ulimwengu huu kila kiumbe kilichopo ndani yake kinatakiwa kiishi kwa kufuata sheria na misingi [universal laws] ambayo ulimwengu huu umejiwekea .

So when anybody violets or goes against the universal laws, he or she must be punished by the universe itself by allowing negative forces juu ya huyo aliyevilote law iliyopaswa kufuatwa at that particula moment na ndo mana kila siku watu tunapata shida sim
ply because we sometimes dance out from the universal tune of
Ukiyatazama mambo vizuri, ambayo hapa kwenye mada yako imeyaita kama "Nature", "Law of Nature"; " Universe utaona yana-operate "Kiakili.

Jinsi univese ilivyo na inavyofanya kazi utagundua kabisa kama ni jambo la hali ya juu yenye akili - intelligence.

Kama hizi "Laws" zinaweza ku-punish ikiwa uta-violate, inawezekanaje kwamba hazina akili; na kwamba siyo intelligence being, ambayo ndiyo tunaita Mungu?
 
Ukiyatazama mambo vizuri, ambayo hapa kwenye mada yako imeyaita kama "Nature", "Law of Nature"; " Universe utaona yana-operate "Kiakili.

Jinsi univese ilivyo na inavyofanya kazi utagundua kabisa kama ni jambo la hali ya juu yenye akili - intelligence.

Kama hizi "Laws" zinaweza ku-punish ikiwa uta-violate, inawezekanaje kwamba hazina akili; na kwamba siyo intelligence being, ambayo ndiyo tunaita Mungu?

The laws are just forces that govern human( species ) existance...

The controller( universal energy/God) operates through laws that regulate universal frequency zinazomconnect kiumbe yeyote na higher life dimensions..

kwanini ukomalie kuwa huyo mtu muweza wa yote ni mtu kama wewe? hicho ndo watu mnachanganya na hamtajuja kuelewa vzuri hiyo nguvu inayocontrol kila kitu ni ya aina gani...

The creator is just a collection of highly life form dimension ambayo imezungukwa na hizo forces ambazo zipo kwenye higher dimension ...

Narudia tena hakuna kitu kinachoitwa Mungu kinachofanana na umbo la mwanadamu ,but its purely spirit with maximum energy that habitates to higher dimension realm...

wew binadamu ni pure spirit ila hilo umbo ulilonalo ni avator where your spirit landers..

But you are of more spiritual form of energy and not the body you seems to appear..

Animals ,majani ,ndege na aina yoyote ya kiumbe unaowajua ,they are not the bodies as they seemed to appear but pure spirit with different form of spiritual energy dimension.. kila mmoja anavibrate katika frequency flan ndo mana tunakuwa na avator tofauti..

Kila kiumbe kinaexist katikamorphology flani kulingana na dimension awareness flan aliyoiattain...

dont comfuse with the avator bodies of different species.,
 
kwanini ukomalie kuwa huyo mtu muweza wa yote ni mtu kama wewe? hicho ndo watu mnachanganya na hamtajuja kuelewa vzuri hiyo nguvu inayocontrol kila kitu ni ya aina gani...
[/QUOTE
Kuhusu wazo lako nililoli-highlight hapa, mafundisho ya kweli ya dini hayasemi "Mungu ni mtu muweza wa yote", hapana! Yanasema Mungu ni Roho tupu.

Kwahiyo neno au jina "Mungu"ni neno au ni jina linaloita "uwepo wa hali ya juu yenye akili.

Kutokana na ukweli huo, Kanisa/dini halifanyi makosa kuita "uwepo wa hali ya juu yenye akili" Mungu.

Makosa yanayofanyika ni ya uelewa. Sayansi inasema, kuna "forces" au "energies" au "laws" zilizofanya na zinazotawala na ku-operate universe. Hii maana yake hizo forces, energies au laws ni, zenye akili; high intelligence being.

Kama hivi ndivyo ukweli ulivyo, suala la Mungu halina makosa yoyote, ila makosa ni uelewa; kufafanua hizo forces, energies, au laws.
 
Leonardo Da vinci anazibitisha hilo kuwa chini ya THE PRIORY OF SIN baada ya kupewa asome matrix system ya JESUS GENEOLOGY ndo akaelaborate things under drawings and sio through writtings coz alijua kabsa kuwa dhumuni la kupewa matrix ya JESUS GENEOLOGY ilikuwa aelewe system nzima kwan tayari alikuwa kashaingizwa kwenye system ya secret society members ambayo misingi yake mikubwa ilikuwa ni kuruhusu human civilization kwa minajiri wanaoijua wao
maelezo zaidi mkuu
 
simply because the universe if perfect ,it knows how to reshape everything,,but bad or good is mental construct ,,everything you see and perfom are equal in magnitude from point of judgement...the universe responds by listening from your mind interpretation,,

Ukisema kuwa hiki kitendo ni kibaya the universe brings bad outcomes kwa sababu your conciousness is connected to the universal conciousness[universe] so everything you think is connected from the universal mind [universe] so ukidhani kuwa ulichokifanya ni kizuri the universe interpretes the frequencies ulizonazo kwenye mind na kukufanya uendelee kufanya hivo,ndo mana tunasema kila mtu aanishi maisha ambayo kayaandaa mwenyewe,,,

What you think in your mind comes manifested into physical reality...somo la hapa ni deep kidgo...but shortly ni kwamba kinachopima kuwa ulichofanya ni kibaya au kizuri ni hiyo concious recognition inayotumwa kwenye universal fild of awareness kulingana na wew ulivyokichukulia..kama ukiua mtu halafu mind yako ikainterprete kuwa ni kitu cha furaha kabsaa the universe will not punish you simply because umetuma conciousness ambazo hazina negative awareness ila ukiogopa na kujawa na hofu the universe will recognize as the bad things and will respond negative on that,,

Ndo mana nasema results nying za mambo yetu tunaandaaa majibu sis wenyew...mfano mzuri ni hospital kama mgonjwa wako yupo ICU halafu madaktari wanendelea na kazi halafu nyie huku nyuama mkajikusanya mkaanza kulia kila mtu akiamini mgonjwa haponi na kweli mgonjwa haponi kwa sabubu ile anger mliyonayo inasend informations to the universe and the universe interprete and recognize that kuwa it is true hence the universe responds to allow death through nature operation,ndo mana wale wazee wa theatre huwa hawataki kuona ndgu wa mgonjwa yupo maeneo ya theatre..why, that ?

simply because they know the effects of your anger,ila ukiweza kurecognize kuwa you are the part of the universe and the universe recognizes you as the part also utaweza kucontrol any outcome iliyok mbele yake,,ndo mana tunasema jiamini..thats is to define yourself in the field of the universe.

kuna study nying zimefanyika kujuwa how the universe responds towards happiest conciousness and anger conciousness...the happier frequency huwa inaleta good outcomes na anger frequence huwa inaleta negative force of reactions from the universe..
Hili some ungeliendeleza ingekua faida kwa wengi ambao hatujui namna ya kupeleka positive energy to the universe
 
We have to dance and vibrate at highest frequency ili uweze ku attain highest point of consciousness...

Huwez attain maximum energy of transformation ukiwa unavibrate katika lowest frequency
How to dance and vibrate at highest frequency 🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom