PSG Pambanaji
JF-Expert Member
- Jan 4, 2020
- 222
- 146
Haya mambo nikiyasoma huwa nabaki neutral kimtizamo!! sasa nauliza ipi nafasi ya hawa wanaoitwa watu wa iman mf waganga,wahubiri na hawa wanaozungumzia kuhusu nyota za watu na athari zake ktk maisha yetu?
Kama mimi ndiye mtengenezaji wauhalisia wangu kwanini unaweza kufikiria kitu au kukihitaji iwe ni kwa kuomba au kutafuta kwa bidii kwa muda mrefu(vibration) na usifanikiwe?je kuna sheria uliyokiuka mpaka inakulazimu urekebishe kwanza? Kama ndivyo utajuaje kama upo sahihi au haupo sahihi kwenye sheria hizo?
Kama mimi ndiye mtengenezaji wauhalisia wangu kwanini unaweza kufikiria kitu au kukihitaji iwe ni kwa kuomba au kutafuta kwa bidii kwa muda mrefu(vibration) na usifanikiwe?je kuna sheria uliyokiuka mpaka inakulazimu urekebishe kwanza? Kama ndivyo utajuaje kama upo sahihi au haupo sahihi kwenye sheria hizo?