Divine matrix under entangled reality

Divine matrix under entangled reality

Habari zenu wakuu

Nahitaji msaada juu ya namna ya kupata spiritual enlightenment and connect my self with the laws of the universe and my soul families as well
Kuna vitu vingi nimejifunza na manufaa yake nimeyaona isipokuwa tu nimekosa guidlines za uhahika

Kwa yeyote anayefahamu haya mambo tafadhali naomba tuwasiliane hata kwa PM ikiwezekana
dah! Hao wataalamu nahisi ni ngumu kuwapata asee
 
dah! Hao wataalamu nahisi ni ngumu kuwapata asee
Naskia wapo ila kuwapata ndio mtiti

Nilkuwa nafatilia historia ya asili yangu nikagundua hata babu yangu hajui alitokea wapi wala hajui asili ya ukoo wetu

Paka apatikane mtu wa ziada mwenye ujuzi wa kufanya spiritual connections za uhakika ili nianze kuresonate with the same frequency with my soul families
 
ninachoamini ni kwamba nature is free to understand ,but it needs your free mind to unlock reality,,,,mtu yoyote unaweza kuunlock patterns of reality,,,everything is the reflection of you,everything is energy so tunapersive vitu simply because kila kitu kinadance with its frequence ndo mana tunaona physically but everything is energy so it needs you to recognize that before you understand how reality is,,,,

ukiweza kuinterprete hizo vibration na frequence of anything hapo utakuwa umeweza kuunlock reality,,shida inakuja wapi sasa ni pale watu wachache wanapoamua kuigeuza kuwa siri na kufikia hatua ya kuua hata wanaodiriki kusema ukweli juu ya nature of reality,,mbaya zaidi in order to understand how nature patterns are ni lazima pineal gland yako iwe active kwa kutoa vichocheo kama melatonin na selrotonin zinafanya intuition pamoja na kumuongezea mtu pyschic abilities,,,,

sasa hawa jamaa wanachokifanya ni kupunguza uwezo wa pineal gland kutoa hizo chemichals na kuicalcisify kabsa ndo mana mtu kuelewa hata kuwa nature ipo inakuwa ngumu yani anaona kama tunac hokizungumza hakina maana kwa sababu hata uwezo wa kuwa pyschic ashaondolewa,wale jamaa waaondoa uwezo wa pineal gland kuwa active kwa kuruhus free radicals[FLUORINE] kuharibu hiyo pineal gland na kufanya mtu kukosa uwezo wa kuleak na universal magnetic pattern zinazoopen mlang wa nafsi ya jicho la tatu kudetect unseen forces that connect human mind to hingh world.....
Mmmh... Sijui ndio nimeondolewa huo uwezo waku-unlock hizo patten! Sijui ndio sina hiyo pineal glad ndio maana naona chenga tu hizi habari!? Ila huo uwezo umeondolewaje!? Lini? Na nani? Haswa hiyo peneal glad huko kwenye ubongo imeng'ofolewa vipi!?

Kiukweli naona mauzauza tu hizi habari maana sijui hatma yake ni nini? Watu kuficha kujua ukweli ni kwa lengo gani? Yaani Wengine waweze kuendesha dunia Wengine wawe waburuzwa tu, for what?

Hao walizigundua hizo codes mwisho wao ilikuaje? Zimewawezesha kufanya nn katika maisha yao? Vipi kuhusu codes za kifo hazijulikani? Codes za kuzuia kufa!? Kama wanaojua na wasiojua mwisho wa siku wote ni RIP tena anaejua ndio anaRIP mapema kuliko mtu ambaye yupo kijijini huko hajui chochote anakula zake vyakula vya asili yupo Fifi zero stress. Hana changamoto za bills za maji, umeme, kodi za nyumba wala usafiri.


Anyway..
 
Universe ikikukataa basi aisee

Fanya namna upatane na universe, give a universe a reason to help You

Wengine wana bahati universe inawakubali instantly wengine Duh

Universe inakua na mashaka but when the universe accepts you unakua untouchable
 
Huu Uzi umejaa madini Sana hakika.Kuna mengi ya kujifunza kupitia uzi huu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom