Mkuu hebu turudi tena. Umesema kuwa ukifanya jambo baya the law of karma itakulipa baya na ukifanya mazuri itafanya hivyo hivyo.
Sasa swali langu ni kuwa, ni kiwango gani kinachotumika ku judge kuwa ni kitendo flani ni kizuri na kipi ni kibaya.?
simply because the universe if perfect ,it knows how to reshape everything,,but bad or good is mental construct ,,everything you see and perfom are equal in magnitude from point of judgement...the universe responds by listening from your mind interpretation,,
Ukisema kuwa hiki kitendo ni kibaya the universe brings bad outcomes kwa sababu your conciousness is connected to the universal conciousness[universe] so everything you think is connected from the universal mind [universe] so ukidhani kuwa ulichokifanya ni kizuri the universe interpretes the frequencies ulizonazo kwenye mind na kukufanya uendelee kufanya hivo,ndo mana tunasema kila mtu aanishi maisha ambayo kayaandaa mwenyewe,,,
What you think in your mind comes manifested into physical reality...somo la hapa ni deep kidgo...but shortly ni kwamba kinachopima kuwa ulichofanya ni kibaya au kizuri ni hiyo concious recognition inayotumwa kwenye universal fild of awareness kulingana na wew ulivyokichukulia..kama ukiua mtu halafu mind yako ikainterprete kuwa ni kitu cha furaha kabsaa the universe will not punish you simply because umetuma conciousness ambazo hazina negative awareness ila ukiogopa na kujawa na hofu the universe will recognize as the bad things and will respond negative on that,,
Ndo mana nasema results nying za mambo yetu tunaandaaa majibu sis wenyew...mfano mzuri ni hospital kama mgonjwa wako yupo ICU halafu madaktari wanendelea na kazi halafu nyie huku nyuama mkajikusanya mkaanza kulia kila mtu akiamini mgonjwa haponi na kweli mgonjwa haponi kwa sabubu ile anger mliyonayo inasend informations to the universe and the universe interprete and recognize that kuwa it is true hence the universe responds to allow death through nature operation,ndo mana wale wazee wa theatre huwa hawataki kuona ndgu wa mgonjwa yupo maeneo ya theatre..why, that ?
simply because they know the effects of your anger,ila ukiweza kurecognize kuwa you are the part of the universe and the universe recognizes you as the part also utaweza kucontrol any outcome iliyok mbele yake,,ndo mana tunasema jiamini..thats is to define yourself in the field of the universe.
kuna study nying zimefanyika kujuwa how the universe responds towards happiest conciousness and anger conciousness...the happier frequency huwa inaleta good outcomes na anger frequence huwa inaleta negative force of reactions from the universe..