unawezaje elewa kitu ambachonhukifahamu kama anayekueleza anakifahamu...??
Kwa sababu akikueleza ukweli utasema uongo ila ukiambiwa useme ukweli unasema tuwaulize wanaojua...!! so whichi is which...![]()
Wanasema kuwa tend to have a doubt on something new but never opose the explanations...unaweza taufta ukweli huku ukitumia primary source ya uelewa juu ya kile kitu..
Ndo mana hata katika sayansi watu huweza formulate laws na principles kisha kuzifuata ili hali wakiendelea kutafuta solution nyingine...accept what you have first then will guide you to reach somewhere..
Usiruhusu kupoteza kila unachokisikia...utakosa kila kitu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Jifunze kutunza kumbu kumbu mzee. Unajua mimi nilielezea nini na mdau ameuliza nini ?
Nakukumbusha sasa,nilieleza maana ya TAHAJUDI kama ilivyo ,sababu iko mbali na meditation. Sasa hapa inabidi uwaulize wale wanao sema MEDITATION kwa Kiswahili ni TAHAJUDI kwanini wanasema hivyo wakati kiuhalisia si hivyo.
Kama huwezi kuziweka pamoja hoja mbili kinzani na ukapata jibu moja sema tukusaidie.
Pia,hii nakupa faida tu kwangu MEDITATION ni aina ya USHIRIKINA na wale walio anzisha mtindo huu nawajua.
Sasa elewa hoja usiishie kuisoma tu hoja.
Nipo ....
