Divine matrix under entangled reality

Divine matrix under entangled reality

simply because the universe if perfect ,it knows how to reshape everything,,but bad or good is mental construct ,,everything you see and perfom are equal in magnitude from point of judgement...the universe responds by listening from your mind interpretation,,

Ukisema kuwa hiki kitendo ni kibaya the universe brings bad outcomes kwa sababu your conciousness is connected to the universal conciousness[universe] so everything you think is connected from the universal mind [universe] so ukidhani kuwa ulichokifanya ni kizuri the universe interpretes the frequencies ulizonazo kwenye mind na kukufanya uendelee kufanya hivo,ndo mana tunasema kila mtu aanishi maisha ambayo kayaandaa mwenyewe,,,

What you think in your mind comes manifested into physical reality...somo la hapa ni deep kidgo...but shortly ni kwamba kinachopima kuwa ulichofanya ni kibaya au kizuri ni hiyo concious recognition inayotumwa kwenye universal fild of awareness kulingana na wew ulivyokichukulia..kama ukiua mtu halafu mind yako ikainterprete kuwa ni kitu cha furaha kabsaa the universe will not punish you simply because umetuma conciousness ambazo hazina negative awareness ila ukiogopa na kujawa na hofu the universe will recognize as the bad things and will respond negative on that,,

Ndo mana nasema results nying za mambo yetu tunaandaaa majibu sis wenyew...mfano mzuri ni hospital kama mgonjwa wako yupo ICU halafu madaktari wanendelea na kazi halafu nyie huku nyuama mkajikusanya mkaanza kulia kila mtu akiamini mgonjwa haponi na kweli mgonjwa haponi kwa sabubu ile anger mliyonayo inasend informations to the universe and the universe interprete and recognize that kuwa it is true hence the universe responds to allow death through nature operation,ndo mana wale wazee wa theatre huwa hawataki kuona ndgu wa mgonjwa yupo maeneo ya theatre..why, that ?

simply because they know the effects of your anger,ila ukiweza kurecognize kuwa you are the part of the universe and the universe recognizes you as the part also utaweza kucontrol any outcome iliyok mbele yake,,ndo mana tunasema jiamini..thats is to define yourself in the field of the universe.

kuna study nying zimefanyika kujuwa how the universe responds towards happiest conciousness and anger conciousness...the happier frequency huwa inaleta good outcomes na anger frequence huwa inaleta negative force of reactions from the universe..
Post zako za mwanzoni nilitaka nikuombe uishie hapo hapo ulipofikia kwenye hizo study zako maana ulikua unajiuliza maswali mengi sana hadi mengine yasiyo na ulazima - niliona dalili za kichanganyikiwa zimekufika.

Ila kwa post hii ya sasa naona umeanza kukaa sawa na nahisi kuna kitabu kimoja kati ya ulivyovisoma nimekisoma pia kwa kuconnect dots japo sijakimaliza.

Nilifika katikati nikaanza kuona mauzauza nikastop kuendelea kukisoma. Hebu ngoja niendelee sasa kuperuzi kuna vitu umevitaja hapo taa ikaniwaka kichwani na hizo kurasa zikanirudia kwy fikra.

Asante kwa kuniboost!!
 
Post zako za mwanzoni nilitaka nikuombe uishie hapo hapo ulipofikia kwenye hizo study zako maana ulikua unajiuliza maswali mengi sana hadi mengine yasiyo na ulazima - niliona dalili za kichanganyikiwa zimekufika.

Ila kwa post hii ya sasa naona umeanza kukaa sawa na nahisi kuna kitabu kimoja kati ya ulivyovisoma nimekisoma pia kwa kuconnect dots japo sijakimaliza.

Nilifika katikati nikaanza kuona mauzauza nikastop kuendelea kukisoma. Hebu ngoja niendelee sasa kuperuzi kuna vitu umevitaja hapo taa ikaniwaka kichwani na hizo kurasa zikanirudia kwy fikra.

Asante kwa kuniboost!!
sawa sawa
 
Umeshaanza uongo wako wa kudanganya hivi unavyohadithiwa CERN MANAGEMENT UNADHANI KAMA UONGOZI WA VYAMA VYA SIASA TZ!?..Hebu nitajie kikundi kinachoongoza CERN!.. Mbona watu mnapenda kulishwa sana matango, kikundi gani kinadictate maamuzi ya Cern?.
Hivi unajua kuna hadi mwanasayansi wa kutoka Tanzania ameshiriki kwenye CERN.
Yani you are soo riffrashh Mkuu!..
tatizo unaenda kutafuta ushahidi google huko week nzima ndo unakuja with nothing minded about the system..umekomaa pia na dini ndo mana huwezi elewa chochote,,,,huwa sibishani na watu wa namna hii,,,,go and dig the reality then ndo urudi sio unajichimbia week nzima na bando lako la jero unarudi hapa...very sory on that
 
tatizo unaenda kutafuta ushahidi google huko week nzima ndo unakuja with nothing minded about the system..umekomaa pia na dini ndo mana huwezi elewa chochote,,,,huwa sibishani na watu wa namna hii,,,,go and dig the reality then ndo urudi sio unajichimbia week nzima na bando lako la jero unarudi hapa...very sory on that
Hahahh.. sawa
 
Hahahh.. sawa
the're is no need to argue one another on that,the matter is to share every aspect of reality and secrets that are still parodoxy to human concious,,,,,,,

The universe has a lot of informations and still MORE yet to be put clearly to the society,,,,thats why we 're here to share the secrets of some of isues that had been put under limitness to human awareness.....

We argue and challenge by facts, the source you dig your information maybe irrelevant with my source and vice versa.....

So learn how to judge your knowlege and awareness on how things go and operates one day you may attain something and shift your concious mind from wrong direction to a positive direction,,,we learn by mistakes,no one who is perfect from point of reality simply because we have not tapped fully within the universal concious of awareness and perfectnesss

Hata mimi mwanzoni nilikuwa kama wew nikisoma kitu najikuta nakijua mimi tu kumbe i was wrong somewhere baada ya kuruhusu mind yangu kuwa flexible as flux like a magnetic field ndo nikajikuta naanza kuelewa namna how to dig and get realistic informations concerning reality of anything....

Dont allow your mind rest on the current information you attain somewhere,allow it to dig more on the reality,

you will finally land on getting the reality....am not here to crush your arguments but to let your mind think in molecular level and not at surface level....very sory for this article to you..
 
Nawashukuru sanaa kwa kinipa elimu ambayo sikuwahi kuipata popote kule sio chule sio chuo wala sio kwenye dini nimekuja kuipata hapa Jamiiforums,nawashukuru sanaa kwa elimu mlionipa ndio nimeelewa sasa kwanini mtume Muhammad alisema tutafute elimu mpaka uchina
 
Nawashukuru sanaa kwa kinipa elimu ambayo sikuwahi kuipata popote kule sio chule sio chuo wala sio kwenye dini nimekuja kuipata hapa Jamiiforums,nawashukuru sanaa kwa elimu mlionipa ndio nimeelewa sasa kwanini mtume Muhammad alisema tutafute elimu mpaka uchina
karibu sana....
 
Sometimes great mind can be a great curse

The best evidence of that is this thread

Great mind can lead you into judging the existence of god and his power

Anyway there are some matter about nature are beyond our inner understanding and we have to accepts it

There is great difference between man 's mind and that of god

There are so many thing that we are not supposed to know in deep no matter how hard we try

God put a limit for a reason
 
UMENIWAHI MKUU HII MADA NILITAKA NIILETE HAPA...ULICHOKISEMA NI UKWELI KABISA KUNA AKILI MOJA INATU CONTROL WOTE.HII SIRI INAFICHWA NA KANISA...
ROMAN CATHOLIC HII TAASISI IMEFICHA VINGI SANA......
...iweke tu mkuu,japo kwa ufupi
 
UMENIWAHI MKUU HII MADA NILITAKA NIILETE HAPA...ULICHOKISEMA NI UKWELI KABISA KUNA AKILI MOJA INATU CONTROL WOTE.HII SIRI INAFICHWA NA KANISA...
ROMAN CATHOLIC HII TAASISI IMEFICHA VINGI SANA......
mkuu ilete tu, watu wataongezea mengi hii ndo namna ya kujifunza na kupeana mengi yaliyo nyuma ya pazia..
 
Kipindi cha nyuma sana!.
Kuna mambo nilipata kuyaona ambayo yalinistaabisha sanaaa!

Baada ya kuyaona wakasema
"Kwa kuwa wewe umeyaona haya ni LAZIMA UFE"

Nikabaki mdomo wazi!. Lakini WAKATI wa majibizano.
Ikatokea Power moja ambayo haielezeki!.

Sijajua waliongea nn coz ya lugha ilikuwa nadhani siyo ya ulimwengu huu!.
Ikabidi niachiwe but kwa MKATABA Na masharti.

Kubwa zaidi mostly ya kumbukumbu zikafutika kichwani hata sijuh ilikuaje.!.

Unaposema kuna Siri katika ulimwengu upo sahihi!.
.KUNA WAHUNI WANATUCHEZEA AKILI WANADAMU!.

Ukweli UTAWEKWA WAZI SIKU 1
Mmoja wao ni huƴu!! Tafakari..View attachment 828030
IMG_20180806_075642_287.JPG
 
We are creator
 

Attachments

  • soulguidance-20180806-0001.jpg
    soulguidance-20180806-0001.jpg
    96.8 KB · Views: 128
Yote kwa yote ni kazi za kishetani kuutawala ulimwengu...na yuko speed sana akijua mwisho wake u kariɓu(kumbuka mwaka 1 sawa na miaka 1000 kiroho) ..hao wenye siri ni mawakala tu wanaotumiwa ndio maana wakivujisha wanakutana na nyundo(kifo cha kujitakia) .. Reference ya material unayotumia kuuzungumzia siri za wanadamu/viumbe hao zimeelezwa kwenye vitabu vya dini...sheria zinazowekwa na kanisa ni mapokeo ya wanadamu hao hao kama hao wanaoweka vitu kuwa siri kumrahisishia shetani kazi yake..(kwa maana anayeficha siri anaogopa wapinzani wake kujua akaharibu mipango yake na kama hiyo siri ingekuwa ya jamɓo jema isingekuwa siri ila ni kwa saɓaɓu ƴa jamɓo ovu kwa wanadamu ndio maana inafichwa kwa maana wakijua watafuata mɓinu za kuziepuka ) huko marekani dada mmoja anaitwa sherrƴ shriner kaandika articles kibao kuhusu hao jamaa na mɓinu ya(kujaribu) kuwazuia kwa sasa ni marehemu...alifikia hatua ya kutengeneza kifaa kinachoitwa orgone blasters kuzuia baadhi mbinu zao hao watu/viumbe wa/vya siri kumteka binadamu....wakati anaendeleza harakati bahati mbaya akafariki na mambo mengi sana ameelezea in a positive way.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom