Uzi umekaa vyema mkuu
Naomba kuuliza, umejibu maswali vizr zaid but why umebase na LAW OF KARMA?? Na je kuna utofauti gan na misingi na sheria ya dini zingine!
?
kanisa kama kanisa ni muongoni mwa secret institute zinazojua ukweli na zinacontrol laws of nature,kanisa katoriki linajua wazi how the laws of nature zinavocontrol human existance but ndo mana linaweza create some minimal laws[sheria za kanisa ] na mwanadamu akazifuata kwani the church has already synchronised with the universal pattern[ universe] ndo mana chochote linachofanya the universe has nothing to punish ....
Maabara kubwa za utafiti nchini uswisi zipo chini ya kanisa,maabara kubwa duniani kama PAUL SCHERRER INSTITUTE ya nchini switzerland ipo chini ya ROMAN CATHOLIC,ndo mana nasema kanisa ndo taasis nzito duniani zilizoficha ukweli how the universe operates.
kituo cha taarifa za anga duniani cha GALACTIC CONNECTION CENTER ambayo inatoa taarifa zote kuhusiana na UFOs ,ALIENS,ASCESSION,CONSPIRACY AND INTERSTELLER TECNOLOGY ,hizi zote zipo chini ya VATCAN INSTITUTE OF SCIENCE pia NASA pamoja na scientific experiments zinatolewa ufafanuzi kwenye GARACTIC CONECTION WEBSITE AMBAYO IPO CHINI YA ROMAN CATHOLIC,sasa huoni kuwa kanisa lina siri nzito juu ya hayo yote...kwanza linacontrol kuvuja kwa taarifa nyeti za mambo ya ulimwengu huu.
Angalia kisa cha GALILEO GALILEI,kufungwa gerezani kwa sababu alianza kutoa siri za LAWS OF NATURE ZINAVOFANYA KAZI under in relation to GRAVITATIONAL EFFECTS kanisa likampiga vita sana,,,
Alianza kuueleza ulimwengu kuwa dunia na sayari zingine zinalizunguka jua lakini kanisa likakataa na kutaka kuwapotosha watu kuwa JUA ndo linazunguka dunia kwa kigezo cha kuchomoza na kuzama....
yani things you see by your naked eyes are not real operating under reality....view things in quantum level utaelewa uhalisia ulivyo,,kanisa lipo radhi lipoteze uhai wa binadamu ili hali siri nzito jinsi ulimwengu ulivyo zilindwe...
UKITAKA KUAMINI KUWA KANISA NDO KILA KITU,angalia kwanini NASA taarifa zao zinatolewa ufafanuzi kupitia GARACTIC CONECTION WEBSITE..???
sitaki kuzungumzia zaidi role of the church kwenye civilization of human entity....ila watu wauumize vichwa kujua how reality operates..